The Quonquerer
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 777
- 111
Swali Kuhusu ya SAUT na Mlimani: Hivi mtu anakuwa mzuri kichwani kutokana na chuo alichosoma au ni juhudi binafsi na ufuatiliaji wa masomo. Ninachojua mimi kuna watu walipata 3 waka-graduate Mlimani na SUA etc, na kuna mwingine alipata 4 karibia na zero, juzi amepata BBA yake ya mlimani. Na kuna watu walikuwa na credits kali wakaenda kusoma vyuo vingine kwa vile walikuwa wanatafuta fani ambazo Mlimani hawafundishi. Sasa je ni mtu au ni chuo? Tusaidiane!