julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,341
- 4,572
Kwa wafuatiliaji watasema ukweli.kwa sasa Ibrahim Traore anavuma. anachokifanya kinagusa mpaka mabara mengine kwa initiatives zake. kwanin nasema Makonda ni kama Traore.
1. Traore kaanzisha kampen inaitwa FasoMebo. hapa sasa nchi nzima inawekwa pavement na usafi( city beatification) ingia mtandaon uone Fasomebo inavyofanya. Ni makonda pekee ndie aliwah kuja na kampen zikazaa matunda.mfano usaf kila mwisho wa mwez, bima kwa kila mtz.n.k
Fasomebo sasa kila mtu anachangia alichonacho.pavement, ma barabara ya lami yanatandikwa kila angle na mimi nasema piga ua ni Makonda peke yake anakuwaga na ka karama flan ka kuhamasisha. Fasomebo inawezekana
1. Traore kaanzisha kampen inaitwa FasoMebo. hapa sasa nchi nzima inawekwa pavement na usafi( city beatification) ingia mtandaon uone Fasomebo inavyofanya. Ni makonda pekee ndie aliwah kuja na kampen zikazaa matunda.mfano usaf kila mwisho wa mwez, bima kwa kila mtz.n.k
Fasomebo sasa kila mtu anachangia alichonacho.pavement, ma barabara ya lami yanatandikwa kila angle na mimi nasema piga ua ni Makonda peke yake anakuwaga na ka karama flan ka kuhamasisha. Fasomebo inawezekana