kwa nini namuona Makonda kama Traore

kwa nini namuona Makonda kama Traore

Hata sijakupangia na wala siwezi kufanya hivo

Ila nilitaka kukuuliza tu swali hilo kama binadamu mwenzako kumwita mbwa kwako ni sawa halafu wewe usiwe mbwa!
Kwani hua hauoni wamiliki wa mbwa wanavyo ongea na mbwa zao, tuliza mshono huo nimemuita mbwa nimemaliza hizo zingine ni shida zako
 
Kwa wafuatiliaji watasema ukweli.kwa sasa Ibrahim Traore anavuma. anachokifanya kinagusa mpaka mabara mengine kwa initiatives zake. kwanin nasema Makonda ni kama Traore.

1. Traore kaanzisha kampen inaitwa FasoMebo. hapa sasa nchi nzima inawekwa pavement na usafi( city beatification) ingia mtandaon uone Fasomebo inavyofanya. Ni makonda pekee ndie aliwah kuja na kampen zikazaa matunda.mfano usaf kila mwisho wa mwez, bima kwa kila mtz.n.k

Fasomebo sasa kila mtu anachangia alichonacho.pavement, ma barabara ya lami yanatandikwa kila angle na mimi nasema piga ua ni Makonda peke yake anakuwaga na ka karama flan ka kuhamasisha. Fasomebo inawezekana
Hivi Traore ni jambazi?
 
Kwa wafuatiliaji watasema ukweli.kwa sasa Ibrahim Traore anavuma. anachokifanya kinagusa mpaka mabara mengine kwa initiatives zake. kwanin nasema Makonda ni kama Traore.

1. Traore kaanzisha kampen inaitwa FasoMebo. hapa sasa nchi nzima inawekwa pavement na usafi( city beatification) ingia mtandaon uone Fasomebo inavyofanya. Ni makonda pekee ndie aliwah kuja na kampen zikazaa matunda.mfano usaf kila mwisho wa mwez, bima kwa kila mtz.n.k

Fasomebo sasa kila mtu anachangia alichonacho.pavement, ma barabara ya lami yanatandikwa kila angle na mimi nasema piga ua ni Makonda peke yake anakuwaga na ka karama flan ka kuhamasisha. Fasomebo inawezekana
Makonda na Traore ni watu wawili tofauti kabisa.
Makonda ni mtu anayechungulia fursa kwa maslahi yake binafsi wakat Traore anafanya hivyo hivyo ila kwa maslahi ya UMMA.

Mfano, Makonda kwenye kuchukua fomu ya kugombea ubunge, ili kupata watu wengi wa kumsindikiza, akaandaa karamu ya nyama choma.
Sherehe hiyo ilifanyika katikati ya mji wa Arusha na kufunga barabara bila kujali usumbufu wanaopata watu wengine.

Traore unaweza kumfanisha na Magufuli sio huyu mhuni msaka Tonge.
Arusha wameumia.
 
Back
Top Bottom