julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,393
- 4,669
- Thread starter
- #21
kiongozi kafanya meng sana.angalia arusha sasa biashara mpaka usiku. utalii umekua.lakilak vijana wa mbio za pikipik wamefaidika. angalia kiongoz alivokuwa mwenez. ilikua simu moja tu mwananchi anasaidiwa.na traore nae ndio hivyo hivyo simu moja kaz huna