Kwa nini mtudanganye kwa kuweka limao?

Kwa nini mtudanganye kwa kuweka limao?

Status
Not open for further replies.

IamMrLiverpool

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
4,830
Reaction score
7,374
Hivi wakina Dada kwanini mna Tabia mbaya sana mkiulizwa mnasema ni Mabikra ila mnapaka Malimao kwenye sehemu za Siri si mseme tu ukweli kwanini mfanye hivi.
 
unajuaje hii imepakwa limao lakini??

unanusa au unaenda na microscope?

huku wengine wakikosea kuingiza tunduni, kule wengine wanajua imepakwa limao na ndimu!!

Next time uende na bamia upike na wali kabisa... lol
 
Makuuuubwaa haya!!! We mtoto eeh? Hujui ipi ni ipi mpka udanganywe?
 
kwani unazungumzia bikira gani na za wapi ??
 
Akipaka maji ya limao,we nyunyuzia ya chungwa ngoma iwe droo
[UTANI]
 
tatizo lipo upande wetu wanaume... kila mwanaume anataka bikra unategemea nini.?? tutegemee zaidi ya haya... mwanaume kaa ukijua wewe unataka bikra na wenzako wanaitaka ukiipata bahati kwako ukiikosa endelea kutafuta utapata.. sikati tamaa ipo siku nitaipata tu..
 
Hakuna ck nilikuwa boad kama leo lkn baada ya hii post cjui kama kuna mtu ananifikia kwa frh na raha
 
unanikumbusha washkaji zangu wawili, kila mtu anadai amemtoa bikra mtoto wa geti wakati huo na mie nlimkuta bikra!!! ilibidi ninyamaze tu kwenye hayo mabishano.... say no to remons

hahaha Kwel Kila Kitu sa iv N China Product wametuaharbu kwa kwel
 
unajuaje hii imepakwa limao lakini??

unanusa au unaenda na microscope?

huku wengine wakikosea kuingiza tunduni, kule wengine wanajua imepakwa limao na ndimu!!

Next time uende na bamia upike na wali kabisa... lol

Haaaaahahahah nimecheka sana jamani!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom