nginda
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 744
- 82
1. Madhehebu mwngi tanzania yako mbeya (tena kuna madhehebu ya kifamilia, ukoo nk)
2. kuchuna ngozi kumeanzia mbeya
3 kupiga nondo kadhalika mbeya
4. Wanakwaya kibao - bony, bukuku, mwaipasila, ande.... nk
5.Wanawake kupiga wanaume Mbeya
6. kuiba maiti nako mbeya
Kungineko vip???
2. kuchuna ngozi kumeanzia mbeya
3 kupiga nondo kadhalika mbeya
4. Wanakwaya kibao - bony, bukuku, mwaipasila, ande.... nk
5.Wanawake kupiga wanaume Mbeya
6. kuiba maiti nako mbeya
Kungineko vip???