- Thread starter
- #21
Waarabu ndio wanawaonea wivu Wamarekani.
yaani mada na ulivyochora apa tofauti ivi kutengeneza AIDS NA EBOLA UNAONA MAZURI AFU BADO UNAMSHANGILIA MMAREKANI.
Waarabu ndio wanawaonea wivu Wamarekani.
According to the Muhammad's holy book/hadith. It is Allah who created diseases and sickness.yaani mada na ulivyochora apa tofauti ivi kutengeneza AIDS NA EBOLA UNAONA MAZURI AFU BADO UNAMSHANGILIA MMAREKANI.
Always to fall 4 one empire is 2 rise 4 nother!. Tangu kuanguka kwa dola la rumi, hakuna taifa lilipata kujiinua kama Marekani. Rumi waliitawala hii dunia kwa karibu miaka 300, wakati huo kukiwa na technologia ya kizamani, kulikuwa hamna magari, bali farasi. Majeshi ya rumi yalikuwa hayana bunduki, tanks, missiles, ndege nk, wao walitumia panga, jambia rungu na mawe, lakini walishinda vita nyingi.
Marekani kwa sasa ndio taifa kubwa kabisa linapokuja swala la uchumi, technologia, jeshi, na ushawishi. Mataifa/nchi zote duniani zinataka kufanya biashara na hawa jamaa. Pesa yao ndio kila kitu. Unapofanya biashara ya kimataifa inakuwa intems of dollar.
Nani wa kumfunga paka kengele. Europian Union. France, German, Italy England kwa pamoja ndio wanaongoza kwa kuwa na uchumi, technolog na ushawishi linapokuja mambo yanayohusu EU. Lakini tayari wana mahaba na marekani. Mimi naamini Labda China itakuja kuweza.
Waarabu ndio wanawaonea wivu Wamarekani.
Kweli mkuu, aliye barikiwa kabarikiwa tu!!
Always to fall 4 one empire is 2 rise 4 nother!. Tangu kuanguka kwa dola la rumi, hakuna taifa lilipata kujiinua kama Marekani. Rumi waliitawala hii dunia kwa karibu miaka 300, wakati huo kukiwa na technologia ya kizamani, kulikuwa hamna magari, bali farasi. Majeshi ya rumi yalikuwa hayana bunduki, tanks, missiles, ndege nk, wao walitumia panga, jambia rungu na mawe, lakini walishinda vita nyingi.
Marekani kwa sasa ndio taifa kubwa kabisa linapokuja swala la uchumi, technologia, jeshi, na ushawishi. Mataifa/nchi zote duniani zinataka kufanya biashara na hawa jamaa. Pesa yao ndio kila kitu. Unapofanya biashara ya kimataifa inakuwa intems of dollar.
Nani wa kumfunga paka kengele. Europian Union. France, German, Italy England kwa pamoja ndio wanaongoza kwa kuwa na uchumi, technolog na ushawishi linapokuja mambo yanayohusu EU. Lakini tayari wana mahaba na marekani. Mimi naamini Labda China itakuja kuweza.
Always to fall 4 one empire is 2 rise 4 nother!. Tangu kuanguka kwa dola la rumi, hakuna taifa lilipata kujiinua kama Marekani. Rumi waliitawala hii dunia kwa karibu miaka 300, wakati huo kukiwa na technologia ya kizamani, kulikuwa hamna magari, bali farasi. Majeshi ya rumi yalikuwa hayana bunduki, tanks, missiles, ndege nk, wao walitumia panga, jambia rungu na mawe, lakini walishinda vita nyingi.
Marekani kwa sasa ndio taifa kubwa kabisa linapokuja swala la uchumi, technologia, jeshi, na ushawishi. Mataifa/nchi zote duniani zinataka kufanya biashara na hawa jamaa. Pesa yao ndio kila kitu. Unapofanya biashara ya kimataifa inakuwa intems of dollar.
Nani wa kumfunga paka kengele. Europian Union. France, German, Italy England kwa pamoja ndio wanaongoza kwa kuwa na uchumi, technolog na ushawishi linapokuja mambo yanayohusu EU. Lakini tayari wana mahaba na marekani. Mimi naamini Labda China itakuja kuweza.
Kwanini Marekani ! Kila Kichwa Cha Mtu Duniani Anasema Yake Kwa Amerika Ivi Nchi Ya Marekani Wanategemea Nini Haswa Kwa Ubabe Wake Ambacho Ukikipata Hicho Umemuua Mwamerika
Ni Nini Icho Na Kinawezekana Kukipata Au Kukiangamiza Kabsa Kisiwepo Ulimwenguni? Na Nani Atamfunga Paka Kengere? Na Wasalisha Kwenu Wana JamiiForums KWA MJADALA WA KINA ZAIDI.
Woote mliochangia mna CHUKI na uislamu lakn ndo hivyo hamuwezi kuufuta! Mnamtetea Muamerika pasina kujua mambo yalivyoo! Naam.. Mnasukumwa na Hisiaa! C akili zenu
Waarabu ooops Waislam ni wale wale. In fact, Uislam ni dini ya Waarabu pekee. Hawa Wabantu ni makafiri tu mbele ya Waarabu.
Na wakristo kwa wazungu ni nani?
Hapo umenena mkuu.Na china hataweza kwasababu china na marekani wanatekemeana kiuchumi ni kama kama nyani na ngedere,pia China na EU wanategemeana.Kingine china hataweza kuitawala dunia kwani hana rasilimali za kutosha(mali ya asili, inaelekea kwisha marekani hajavuna na inasadikika anamafuta , gesi na makaa ya mawe kibao na marekani anasubiri wengine waishiwe).China ana influence kwenye biashara na si uchumi kwa sasa pato la mtu mmoja nchini china wa kipato cha wastani ni kama $6000 kwa mwaka, kwa mmarekani ni kama $50,000 kwa mwaka.Halafu china hana winning multinational corporations the like of boeing,cocacola,cartepillar,pfizer , apple,microsoft, oracle, google,walmart,mcdonalds,dell,yahoo,IBM,chrysler,ford,tesla etc,ambazo zinabeba uchumi, pia marekani anamiliki dhahabu nyingi,hisa nyingi katika worldbank,IMF,Asian development bank.Kingine wamarekani wana nguvu kwasababu ya demokarasia yao na uhuru wa mwananchi, hivyo inawapelekea kuwa wabunifu wa bidhaa na huduma mpya.China ni copy and paste.Viwanda vingi vikubwa na vya maana vilivyoko china ni vya wamarekani, wajapani na wayuropa.Big company katika china (kidogo multinational ni Huawei na kwa umbali alibaba, na labda China petroleum).Kingine ile uwe super power unahitaji marafiki wa kweli, china hana, unahitaji kuinfluence( leadership) na kuwa wa kwanza kutake risk, na pia kuintegrate uchumi na jeshi.Angalia bajeti ya jeshi ya marekani ni kama $600 billioni kwa mwaka ya china ni kama $100 billioni kwa mwaka .Marekani inatenga asilimia ishirini ya pato la taifa kusaidia na kutoa misaada katika mashirika ya kimataifa kama WHO, UNCEF,etc, china hana kitu kama hicho.Kuna mambo mengi sana,Marekani kuanguka kama dola si leo wala kesho,yeye anatawala kwa ideology, innovation na technology.Urusi hataweza kwani ni kubwa jinga, bora hata china anajitahidi kutambaa.Kingine ni kwamba marekani ni dunia ambayo imekusanya watu wa dunia yote hasa wenye akili mfano kati ya vyuo kumi bora duniani vyuo saba ni vya marekani( havard, stanford,MIT,Boston,Yale,etc), ukija kwenye Nobel Prize ndio kabisa.Kingine ni kwamba ni moja ya mataifa ambayo pia yamebarikiwa kwa sababu ya kuwapokea na kuwapigania wayahudi(waisrael),katika maandiko ya Mungu katika biblia(tafuta aya) yanasema kwamba atakaye watetea na kuwapigania waisrael atabarikiwa na atakaye wachukia waisrael atalaaniwa.Labda ndiyo maana baada ya Nyerere kufunga Ubalozi wa Israel na Kutukuza wapalestina, Mungu ametulaani na hatueleweki!Ubalozi wa Israel urudi ili mambo yaende shwari.
Mwisho: jumla ya kipato au hifadhi ya pesa ya wamarekani wote= (uchumi wa china +Uchumi wa india) x2, maana yake ni kwamba uchumi wa marekani hutegemea kuendesha uchumi wake kwa kuuza vitu kutoka viwandani kama china, uchumi wa china unategemea viwanda kwa zaidi ya %80 ambacho ni kitu hatari uchumi wake si stable.Technological and service economy ni zaidi ya $70 ndiyo inawabeba wamerekani , huku wakitegemea chini ya %30 kuuza vitu nje.
Marekani ni super power kwasababu ya: uchumi, military, technology,leadership, stable and unified country, consistent and predictable, you can count on her, a guarantor of world peace , stability and prosperity.
Waafrika tatizo kubwa ni kujitambua na elimu, kama una akili timamu huwezi kumpenda mmarekani
1.mtu ambaye anataka akutawale milele na huku kwake akiwabagua blacks waziwazu
2.amefikia hatua anakwambia sikupi hela hadi uhalalishe ushoga
Ishmael wewe ni mpmbavu na hujitambui, grow up na jaribu kutafuta elimu.
Salute to mugabe , putin ,president of china , north korea , ghaddaffi and other brave soldiers.
Mtumishi, umelenga penyewe kabisa kwenye line yako ya mwisho. That old serpent/Satan, is the father of jibril's religion. The despicable atrocities committed by these grandsons of Allah are pure fiendish and diabolical and only Satan can do that.
Truly, this cult causes mental illness to these followers or middle eastern illiterate prophet.