Kwa nini mahusino yangu hayafikii malengo?(nini wanawake wanataka)

inategemea hao wanawake unawapata wapi.km unawapata bilicanas unadhani utapata nini? full of sh**t

siku zote huwa natafuta uhusiano wa siliazi..siwezi kwwnda tafutia billz or maisha..na kama kwwnda huko huwa naenda maybe kikazi
 
labda unapenda watu ambao sio level yako......au huna hela nzuri....au usafi wako wa mwili ni hafifu.....au una mabobish sana.....au hujamuona dentist muda mrefu au.....au.....au..au.....aaaah.......

let me give you a hand! Labda una wiknec kubwa hyo ambayo hujaiweka hapa mi na Preta hatutaitaja ila ndo source of the trouble
 
Je hao uliowapata washajua au ushawahi kuwaambia malengo yako kiuwazi kuwa unawataka kwa lipi maana hayo yote uliyoyaandika sio mwanamke anayataka kutoka kwa mwanaume
Inawezekana unawatumia tu ila hawajui mwisho wao ni nini na hawajielewi ni wapi watafikia
So wanavyopata wale ambao wanawaaambia wazi kuwa malengo yao mahusiano yao ni haya na haya lazima wakumwage
Je wewe ushajiuliza au ukakaa na hao uliokuwa na mahusiano nao ukawachunguza malengo yao ukajua wana nini au wanafikiria nini au wanategemea uwafikishe wapi na mahusiano yako Preta taratibu bana utatuvunja mbavu wakati unajua tumefunga

siku zote huwa natafuta binti kwa uhusiano wa siliaz na huwa ninawaambia kabisa kabla
 
Last edited by a moderator:
Jaribu kubadil life style yako, chagua aina za story za kuchat na ua lvers uckute una ongea un wanted, Then tafuta type zako economically pamoja na receptionally
 
Jaribu kubadil life style yako, chagua aina za story za kuchat na ua lvers uckute una ongea un wanted, Then tafuta type zako economically pamoja na receptionally

nina uchumi wa kumridhisha binti yeyote asiye na makuu kuhusu mwonekano wangu sina wasi wasi nao.siko kwenye kundi la wasio n mvuto na isitoshe wengi walintaka wenyewe
 
ahsante,but nimelelewa n kukulia katika familia inayomheshim Mungu..hakuna walevi

^^
Fine,,kama ni hivyo basi Mungu anapozuia jambo fulani kwa mtu,,Mungu anajua faida za jambo hilo kwa mtu huyo.
Usilazimishe,,mpe Mungu nafasi.
Kila la kheri.
^^
 
Haa haa eti mimi ni muwazi sana lol

nani anaependa an open book?

women love mysterious people...

talk less about you..muache a find out taratibu
 
duh huyu aliyekutosa nahisi ulimpata hapa jamvini na kuleta mada mnaendelea vizuri nini kimetokea tena,,,,,shetani huyu hafai kabisa kaingilia uhusiano wa watu dah pole sana,nina imani utampata wa ubavu wako muda ukifika.
 
duh huyu aliyekutosa nahisi ulimpata hapa jamvini na kuleta mada mnaendelea vizuri nini kimetokea tena,,,,,shetani huyu hafai kabisa kaingilia uhusiano wa watu dah pole sana,nina imani utampata wa ubavu wako muda ukifika.[/QUOT
nilieletaga habari zake tulipatan huku huku nilipo na mwanzo mambo yalikuwa mazuri..kabadilka ghafla na mapenz kufa
 
labda unapenda watu ambao sio level yako......au huna hela nzuri....au usafi wako wa mwili ni hafifu.....au una mabobish sana.....au hujamuona dentist muda mrefu au.....au.....au..au.....aaaah.......

Inavyoekea jamaa MFUPI uyu!!!!
 
Habari wafuasi wa mapenzi
leo na mimi nimeona niwashirikishe linalonisibu.sijajua ni tatizo ama ni nini..iko hivi;
kwanza kabisa naandika haya nikiwa na maumivu yetu yale ya kufanyiwa vibya na tuwapendao..na huu ni uhusiano wangu wa tatu na mara zote me ndiyo nimekuwa victim..nashindwa kuelewa huwa naanguka wapi sababu kwanza sijawai ingia kwenye mahusiano na binti kwa lengo la kupotezea mda binti wa mwanmume mwenzangu na kawaida mi ni mpole ingawa siyo ule upole wa kibwege..ni muwazi,huwa namheshim nilienae na kuuheshim uhusiano wetu kwa maana ya kwamba siwezi kucheat,nina jari na kutunza kulingana na ukubwa wa mfuko wangu.ninapojuwa nimekosa niko mwepesi sana kuomba radhi hata kama kosa siyo langu ntafanya hivyo ili tu kuepusha shari maisha ya amani yaendelee na kama dushelele napiga vizuri tu
hoja ni kwamba..KWA NINI BADO MAHUSIANO YANGU HAYAFIKII KULE TULITALAJIA YAFIKE?KWA NINI MWISHO WA SIKU WANANIONA SIFAI TENA ingawa kweli tulioachana nyuma hutamani kurudi na kukiri kuwa hawawezi kupata mwanamume wa kuwa treat vile..saivi nimeumizwa tena niko mpweke kabisa..richa ya stress zote kikubwa kinaniumiza kichwa kwa nini wananitendea hivyo?ni kipi nakikosea next time kwa uhusiano mpya nisikirudie tena nikawa n uhusiano wa kudumu?Ahsanteni kwa kunisoma nakaribiaha mawazo yenu.

Wanapokukimbia hawakuachii ujumbe wowote ama malalamiko yoyote,sema usaidiwe si rahisi kua wanaondoka kimyakimya
 
Wengi walaghai ndugu ila jaribu kuufanyia kazi ujumbe wa malalamiko ambao huwa wanauacha kipindi uhusiano wenu unapofikia kikomo naimani utagundua nini wanahitaji kutoka kwako
nakupa pole...!!
 
Back
Top Bottom