Kwani wazungu wana nini na sisi tushindwe tuna nini?
Angalia roman cathilic ambalo source na wazungu mana limeanzia italy yaani vatican na ndo mana haitakuja itokee papa awe mwafrica mana wanatuona sisi hatuwezi kabisa na the moment atakapokuwa papa mwafrica basi kanisa linakufa.
Tuje kwetu huku hasa tanzania angalia makanisa ya kilokole yanayoanzishwa na wafrica wenyewe kwanza hatuyaheshimu tunahshimu dini iliyoanzishwa na mzungu katoliki. Pili mwanzilishi hataki kudelegate kiasi kwamba akifa na kanisa limekufa tofauti na kanisa hili la Roma.
Kwani sisi waafrica tusianzishe kanisa la kiafrica linalodumu tukaachana na haya ya wazungu kama katoliki n.k.?
Angalia roman cathilic ambalo source na wazungu mana limeanzia italy yaani vatican na ndo mana haitakuja itokee papa awe mwafrica mana wanatuona sisi hatuwezi kabisa na the moment atakapokuwa papa mwafrica basi kanisa linakufa.
Tuje kwetu huku hasa tanzania angalia makanisa ya kilokole yanayoanzishwa na wafrica wenyewe kwanza hatuyaheshimu tunahshimu dini iliyoanzishwa na mzungu katoliki. Pili mwanzilishi hataki kudelegate kiasi kwamba akifa na kanisa limekufa tofauti na kanisa hili la Roma.
Kwani sisi waafrica tusianzishe kanisa la kiafrica linalodumu tukaachana na haya ya wazungu kama katoliki n.k.?