Mwalimu,
hjapa nakubaliana nawe kabisa. Sijui kama hawa watu wanaelewa ni jinsi gani wenzetu walifanya pinmdi walipokuwa wakipinga serikali zao au chama tawala. Ni majuzi tu waliyaona huko Zimbabwe jinsi wananchi wenyewe walivyokuwa wakiingia mitaani na kuweka upinzani. Lakini kwetu sisi imekuwa kama ni kazi ya Chadema kwa maisha yao wenyewe. Chadema awaletee Uhuru huo mezani kilichobakia wao ni kula maraha tu..
Wakuu zangu yawezekana kweli Chadema hawana PR pengine hawana watu wa kushughulikia maswala ya Utangazaji na mengineyo kibao wakati CCM mbali na Mafisadi wanatumia pia vifaa vya Taifa na watumishi wa serikali kujitangaza. Ifike wakati sisi wenyewe tukichukulie chama hiki Chadema kama ni chama chetu sote na sii cha Mbowe au Dr.Slaa. Unapoweka mawazo ya kusema Chadema hawafanyi kadhaa wa kadhaa ina maana wewe mwenyewe unajitenga na kusema chama kina wenyewe. Chadema ni wewe na mimi nawoote wanaotaka mageuzi.
Jamani inachukua kijiji kizima kumlea mtoto na Chadema ni mtoto wenu nyote, mkianza kuwaachia dhamana yote basi ni dalili ya kutofahamu kazi kubwa ya mageuzi inatuhusu sote na sii Chadema. Chadema ni tools ama nyenzo itakayotuwezesha kufanikisha azma tunayokusudia.. it's like a bus - means of transportation). Kwa hiyo zile fikra za Ujamaa kufuatwa na bus hadi nyumbani na kupigiwa honi ndio unajiandaa kwenda kazini ziondoke...Ni sisi tunaotakiwa kwenda kituoni na kulipanda bus on time, tukiwa ndani ya bus tutaimba, tushangilie na kupiga mayowe ya kuutaka ushindi.
hjapa nakubaliana nawe kabisa. Sijui kama hawa watu wanaelewa ni jinsi gani wenzetu walifanya pinmdi walipokuwa wakipinga serikali zao au chama tawala. Ni majuzi tu waliyaona huko Zimbabwe jinsi wananchi wenyewe walivyokuwa wakiingia mitaani na kuweka upinzani. Lakini kwetu sisi imekuwa kama ni kazi ya Chadema kwa maisha yao wenyewe. Chadema awaletee Uhuru huo mezani kilichobakia wao ni kula maraha tu..
Wakuu zangu yawezekana kweli Chadema hawana PR pengine hawana watu wa kushughulikia maswala ya Utangazaji na mengineyo kibao wakati CCM mbali na Mafisadi wanatumia pia vifaa vya Taifa na watumishi wa serikali kujitangaza. Ifike wakati sisi wenyewe tukichukulie chama hiki Chadema kama ni chama chetu sote na sii cha Mbowe au Dr.Slaa. Unapoweka mawazo ya kusema Chadema hawafanyi kadhaa wa kadhaa ina maana wewe mwenyewe unajitenga na kusema chama kina wenyewe. Chadema ni wewe na mimi nawoote wanaotaka mageuzi.
Jamani inachukua kijiji kizima kumlea mtoto na Chadema ni mtoto wenu nyote, mkianza kuwaachia dhamana yote basi ni dalili ya kutofahamu kazi kubwa ya mageuzi inatuhusu sote na sii Chadema. Chadema ni tools ama nyenzo itakayotuwezesha kufanikisha azma tunayokusudia.. it's like a bus - means of transportation). Kwa hiyo zile fikra za Ujamaa kufuatwa na bus hadi nyumbani na kupigiwa honi ndio unajiandaa kwenda kazini ziondoke...Ni sisi tunaotakiwa kwenda kituoni na kulipanda bus on time, tukiwa ndani ya bus tutaimba, tushangilie na kupiga mayowe ya kuutaka ushindi.