Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
CCM wanatumia nguvu nyingi sana kujitangaza! Wamezagaa kila mahali kwenye mitandao!
Cha ajabu ni kwamba CHADEMA sijui hata kinachoendelea, siamini kwamba CHADEMA hakuna uwezo wa kufanya hivyo! A small digital camera can do a lot. Mnashindwa kuwapatia vijana camera mbila,tatu wakafuatana na mgombea jioni waka-upload pictures hata hata hapa JF. Mbaya zaidi hata kwenye mtandao wa Chama ni kimya utafikiri hakuna campaign.
Kuna Blogs kibao zinab support kazi inayofanywa na CHADEMA lakini hamwapi!
Jamani jamani PUBLICIZE your campaigns. Tunahitaji kwenda uso kwa uso na kiki chama cha Majambazi! Wekeni habari pics, viioja na vituko propaganda na kila aina ya mbinu ilimradi tu CCM wang'atuke!
Flood the internet!!!!!!!!!!
Cha ajabu ni kwamba CHADEMA sijui hata kinachoendelea, siamini kwamba CHADEMA hakuna uwezo wa kufanya hivyo! A small digital camera can do a lot. Mnashindwa kuwapatia vijana camera mbila,tatu wakafuatana na mgombea jioni waka-upload pictures hata hata hapa JF. Mbaya zaidi hata kwenye mtandao wa Chama ni kimya utafikiri hakuna campaign.
Kuna Blogs kibao zinab support kazi inayofanywa na CHADEMA lakini hamwapi!
Jamani jamani PUBLICIZE your campaigns. Tunahitaji kwenda uso kwa uso na kiki chama cha Majambazi! Wekeni habari pics, viioja na vituko propaganda na kila aina ya mbinu ilimradi tu CCM wang'atuke!
Flood the internet!!!!!!!!!!