mats_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 398
- 296
mimi mtanashati, af mpoleHahahahaa.. na wewe mzuri mkuu? Tuma picha kwanza kabla sijaja PM
ila sijisifiii
mimi mtanashati, af mpoleHahahahaa.. na wewe mzuri mkuu? Tuma picha kwanza kabla sijaja PM
Weee. Basi unafaa sana.mimi mtanashati, af mpole
ila sijisifiii
Mzigua90 uje pm maana naambiwa una mambo mazur ya kunioneshaWeee. Basi unafaa sana.
Hata kama ana sura ya baba ake mkuu?CHURA
CHURA
CHURA
CHUR
CHU
CH
C
.
Nani huyo aliekuongopea mkuu??Mzigua90 uje pm maana naambiwa una mambo mazur ya kunionesha
Hata kama ana sura ya kobe, CHURA ni habari nyingineHata kama ana sura ya baba ake mkuu?
kama kwel ni mzigua mbna mnaeleweka mambo mazuri mlonayo, na mashepu yenu kma mmekula dawa kumbe apana,Nani huyo aliekuongopea mkuu??
Shangaa na wewe,halafu ndani wanabaki kulalamikia matokeo ya uchaguzi wao kama huyu aliyedaka mpishi hodariView attachment 509199
Hata mimi huwa naipinga hii kauliii(Eti Hakuna mzuri) hii ni kauli ya kujipa moyo tu.
kama kwel ni mzigua mbna mnaeleweka mambo mazuri mlonayo, na mashepu yenu kma mmekula dawa kumbe apana,
[HASHTAG]#Mzigua[/HASHTAG] Mwenzako Uku Anasema Wadada Wa Uziguani Ni Asaliiiii
Kwa hiyo kila mzuri hawez kupika
Kwanini umebadili avatar yako ile nzuri inayokufananaNgoja waje tuwasikie
kweli mkuu, tena waache kujipa moyo kabisaaa! na wakiendelea kubisha tuu naleta picha hapa!!!Hata mimi huwa naipinga hii kauliii
itarudi tu tajirimsomi usijariKwanini umebadili avatar yako ile nzuri inayokufanana
Hahaaaakweli mkuu, tena waache kujipa moyo kabisaaa! na wakiendelea kubisha tuu naleta picha hapa!!!
Mapenzi hayana sababu yoyote ya msingi yani hayaelezeki yani tapo tuKwanza niombe kusema hakuna mtu mbaya ila kuna baadhi ya wanaume hupenda wanawake walio na muonekano wa sura hata kama tabia yake huyo mwanamke ni mbaya.
Kwanza tujadili mwanamke mzuri ni yupi??
>Mwenye sura nzuri?
>Mwenye tabia nzuri?
>Mwenye maungo yaliyoumbika?
>Mwanamke mweupe netural?
>Mwenye rangi ya kiafrica
Ila wanaume tulio wengi upenda wanawake wenye sura nzuri hata kama tabia siyo nzuri unakuta mtu anateseka naye kisa sura.
Je kwa nini??
Tupeane elimu.