Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
WanaJF
Tumepokea kwa masikitiko makubwa msiba wa watoto wetu waliokufa hivi majuzi baada ya umeme kukatwa ghafla. Mungu azilaze roho za wapendwa MAHALI PEMA PEPONI - aMINA
Kama sikosei hii siyo mara ya kwanza kutoke kwa madahara haya. Kumekuwepo na historia ya janga kama hili kwa watoto wetu kila kipindi cha sikukuu.
Je ni kwa nini na tuchukue hatua gani kudhibiti hali hii?
Tumepokea kwa masikitiko makubwa msiba wa watoto wetu waliokufa hivi majuzi baada ya umeme kukatwa ghafla. Mungu azilaze roho za wapendwa MAHALI PEMA PEPONI - aMINA
Kama sikosei hii siyo mara ya kwanza kutoke kwa madahara haya. Kumekuwepo na historia ya janga kama hili kwa watoto wetu kila kipindi cha sikukuu.
Je ni kwa nini na tuchukue hatua gani kudhibiti hali hii?