STEIN JF-Expert Member Aug 29, 2010 1,770 553 May 5, 2012 #41 Rais wetu nilaza uwezo wake ni mdogo sana hawezi kuhimili maswali ya wahariri.
G Gagso Member Apr 16, 2012 58 3 May 5, 2012 #42 MNYISANZU said: Alikuwa anakikimbia kivuli chake. Alijua ameboronga kabisa. Click to expand... helo nalo neno!
MNYISANZU said: Alikuwa anakikimbia kivuli chake. Alijua ameboronga kabisa. Click to expand... helo nalo neno!
mgodi JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,780 1,845 May 5, 2012 #43 Alichokifanya anakijuwa na hakuwa na uwezo wa kukitetea, ila anauwezo wa kufafanua zaidi akikutana na wazee wake wa Dar.
Alichokifanya anakijuwa na hakuwa na uwezo wa kukitetea, ila anauwezo wa kufafanua zaidi akikutana na wazee wake wa Dar.
B Bangoo JF-Expert Member Nov 3, 2011 5,597 1,005 May 5, 2012 Thread starter #44 Akiwa kama Raisi angewauliza kuna mwenye swali? Badala kakimbia!
mgodi JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,780 1,845 May 5, 2012 #45 Mzee Mwanakijiji said: Kuna mtu alinyoosha mkono kuuliza swali hakujibiwa? Click to expand... Timu aliyopanga ni kwa manufaa yake mwenyewe na siyo nanufaa ya Taifa, kwahiyo asingeweza kujibu chochote.
Mzee Mwanakijiji said: Kuna mtu alinyoosha mkono kuuliza swali hakujibiwa? Click to expand... Timu aliyopanga ni kwa manufaa yake mwenyewe na siyo nanufaa ya Taifa, kwahiyo asingeweza kujibu chochote.