ukweli Rais ametuaabisha sana maana alionekana kwanza mwishoni amekasirika sana bara baada ya kutaja jina la mwisho nikaona anaondoka haraka haraka kwa kifupi uwezo wa rais wetu kujibu maswali sio mzuri ila kwa kuwa yuko kwenye system tukubaliane ndiye Rais wetu na hatuna jinsi