Rais Jakaya kikwete aliwaita wahariri wa vyombo mbali mbali ikulu ili kuwatangazia uteuzi wa mawaziri. Lakini alipomaliza tu kutangaza akakimbia! Kulikoni mh Jk? Si uliwaita? Kwa nini hukutaka maswali mheshimiwa?. Kama ulijua utatukimbia kwanini utuite?
Kwa kweli nimesikitika sana kuona Rais anakimbia maswali!
Nadhani aliogopa kuulizwa kuhusu kumwacha ktk baraza la mawaziri Mkuchika, Maghembe, na Wasira?
Kwa kweli nimesikitika sana kuona Rais anakimbia maswali!
Nadhani aliogopa kuulizwa kuhusu kumwacha ktk baraza la mawaziri Mkuchika, Maghembe, na Wasira?