intelinside
JF-Expert Member
- May 21, 2015
- 300
- 394
Sio kwamba anajua tiba za kila gonjwa mkuu, jaribu kuelewa na kufuatilia, wazee huko vijijini wamegundua dawa kwa style hiyo.Sasa mkuu kama nyoka ni Genius kiasi hicho kwa nini wasitumiwe kutafuta Dawa za magonjwa sugu kama Ukimwi na Saratani??? Yaani nyoka anaambukiwa Ukimwi Then Anakuwa karibu na nyoka wengine na Akikaribia kufa wenzake lazima wataenda pori kutafuta Dawa then wanamfuatilia kimya kimya na kumfanyia surveillance hadi kwenye hiyo dawa watakayomleta mwenzao na tayari Dawa ya Ukimwi inakuwa imepatikana kupitia huo MTU utakaoenda kuchumwa na Nyoka wenzake
Ukimdhuru nyoka vizuri, jibanze tu sehemu utaona, wenzake wakimkuta hivyo lazima wajaribu kumtibu, hivyo walichofanya watu wanawafuatilia kwa makini wanaenda kung'ata mti, au majani gani waje kumtibu mwenzao.
Unaweza kudhani ni uongo ila ndio hivyo.