Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Hii pikipiki ni Kawasaki Z1 900 ya mwaka 1972 ya mjapan, bidhaa ya kampuni kubwa tu ya pikipiki kutoka Japan. Najua wengi wetu tunafahamu kuwa kwa vyombo vya usafiri nchi yetu ni mteja mkubwa sana kwa japan kwa kiasi kikubwa sana. Sasa suala ni kwa nini sijaiona hii pikipiki ambayo ina miaka zaidi ya arobaini sokoni ? Kama magari yalitushinda iwe hadi kwa pikipiki?
Umasikini ulitugaragaza sana! Nani wa kumlaumu kwa ule umasikini wetu? Au kuna wadau wameshaiona?