Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
CCM B, CCM C, CCM D - CCM-X n.k?
Kwanini maneno hayo yamekuwa yakipata nafasi katika siasa zetu?
Je taathira yake ni nini katika siasa za mageuzi na siasa za Tanzania kwa ujumla?
Ninavyojua mimi kabla ya jipu huanza kipele.. na kipele hicho ndicho huwa jipu!
vivyo hivyo kunyoosheana kidole... vingi vya vidole hurudi kwa mnyooshaji!
Tija ni ipi katika hilo?
Kwanini maneno hayo yamekuwa yakipata nafasi katika siasa zetu?
Je taathira yake ni nini katika siasa za mageuzi na siasa za Tanzania kwa ujumla?
Ninavyojua mimi kabla ya jipu huanza kipele.. na kipele hicho ndicho huwa jipu!
vivyo hivyo kunyoosheana kidole... vingi vya vidole hurudi kwa mnyooshaji!
Tija ni ipi katika hilo?