republicoftabora
Member
- May 9, 2012
- 59
- 15
Hivi kuna mtu anayo CAG report ya Tazara inasemaje?
Nimedownload BBC video inayotwa African Railway
Ni aibu. Sasa kama serikali na pesa za walipa kodi zimeshindwa kuongeza ufanisi.
Watu wanafanya maintenance kwa kutumia zama za karne ya 18 hivi kweli watawala wetu wana nia na hii reli au?
halafu kuna tu amesema kwenye video kuwa maamuzi yote ya hatma ya Tazara yako Beijing. Je ni kweli haya?
sikiliza hapa:
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-17060828
Nimedownload BBC video inayotwa African Railway
Ni aibu. Sasa kama serikali na pesa za walipa kodi zimeshindwa kuongeza ufanisi.
Watu wanafanya maintenance kwa kutumia zama za karne ya 18 hivi kweli watawala wetu wana nia na hii reli au?
halafu kuna tu amesema kwenye video kuwa maamuzi yote ya hatma ya Tazara yako Beijing. Je ni kweli haya?
sikiliza hapa:
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-17060828