Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 516
- 854
Wakuuu salaaaam
Nimepata matokeo yangu ya UE nimesikitishwa. Kwa upangiliaji wa grade hizi sababu nilidhania A inaanzia 70 kumbe sio hapa chini ni muongozo wa grade hizo
A - 75 - 100
B+ - 65 - 74
B - 60 - 64
C - 50 - 59
D - 40 - 49
F / sup - below 40
Hii ni haki kweli wamangu by the way nina sup 1 semester ya 1 😭😭😭
Nimepata matokeo yangu ya UE nimesikitishwa. Kwa upangiliaji wa grade hizi sababu nilidhania A inaanzia 70 kumbe sio hapa chini ni muongozo wa grade hizo
A - 75 - 100
B+ - 65 - 74
B - 60 - 64
C - 50 - 59
D - 40 - 49
F / sup - below 40
Hii ni haki kweli wamangu by the way nina sup 1 semester ya 1 😭😭😭