Kwa nini "Grade" za chuo zimepanda?

Awiaman ooza

JF-Expert Member
Mar 25, 2023
516
854
Wakuuu salaaaam

Nimepata matokeo yangu ya UE nimesikitishwa. Kwa upangiliaji wa grade hizi sababu nilidhania A inaanzia 70 kumbe sio hapa chini ni muongozo wa grade hizo

A - 75 - 100
B+ - 65 - 74
B - 60 - 64
C - 50 - 59
D - 40 - 49
F / sup - below 40

Hii ni haki kweli wamangu by the way nina sup 1 semester ya 1 😭😭😭

1679874567122.jpg
 
Wakuuu salaaaam

Nimepata matokeo yangu ya UE nimesikitishwa. Kwa upangiliaji wa grade hizi sababu nilidhania A inaanzia 70 kumbe sio hapa chini ni muongozo wa grade hizo

A - 75 - 100
B+ - 65 - 74
B - 60 - 64
C - 50 - 59
D - 40 - 49
F / sup - below 40

Hii ni haki kweli wamangu by the way nina sup 1 semester ya 1 😭😭😭

View attachment 2567485
Hiyo picha unahusiana vipi na mada?

Miaka yetu tunasoma A ilianzia 80 ikaja kubadilika.
 
Wakuuu salaaaam

Nimepata matokeo yangu ya UE nimesikitishwa. Kwa upangiliaji wa grade hizi sababu nilidhania A inaanzia 70 kumbe sio hapa chini ni muongozo wa grade hizo

A - 75 - 100
B+ - 65 - 74
B - 60 - 64
C - 50 - 59
D - 40 - 49
F / sup - below 40

Hii ni haki kweli wamangu by the way nina sup 1 semester ya 1

View attachment 2567485
Kwani unadhani hiyo ni kubwa? Kama haukuwa unasoma na umeenda chuo kukua ndo utashangaa kutokujua hata grading zipoje lakjni kwa aliyeenda kusoma anafahamu vizuri sana.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Wakuuu salaaaam

Nimepata matokeo yangu ya UE nimesikitishwa. Kwa upangiliaji wa grade hizi sababu nilidhania A inaanzia 70 kumbe sio hapa chini ni muongozo wa grade hizo

A - 75 - 100
B+ - 65 - 74
B - 60 - 64
C - 50 - 59
D - 40 - 49
F / sup - below 40

Hii ni haki kweli wamangu by the way nina sup 1 semester ya 1 😭😭😭

View attachment 2567485
Kama muda wote uko na warembo tu hivi lazima utakula mzinga tu
 
Back
Top Bottom