Kwa nini Computer yangu wakati fulani inazimika bila taarifa?

GM7

JF-Expert Member
Jun 26, 2009
492
24
Kuna wakati nawasha kompyuta halafu inawaka vizuri tu, ninapoi-connect kwenye internet baada ya sekunde chache inazimika ghafla kama umeme. Je ni kwanini au ndio virus vishaingia? Kama ndiyo hivyo mbona Anti-virus yangu haija-detect?
Wakuu naomba tusaidiane yawezekana wengine wana tatizo kama hili. Kwa muda huu ninapoandika hii thread bado haijazimika.
 
angalia settings za compyuta yaco inawezekana umeiset izime baada ya mda mfupi
kuhusu virus inategemea ni anti virus inategemea siku hizi kuna worms aina nying vile vile na virus
 
Inazimika kivipi? Inafanya Shut Down au kama umeme unakatika?
 
Why My Computer is shutting down by itself? It's Hot in There

Most likely this is an overheating situation. Itunes, RealPlayer, Windows Media player, etc. require a lot of processing power to decompress and decode music files, which can cause the system to get hot.
If your CPU is running at over 60 degrees you might be at risk of burning it out. Some systems shut down automatically when the temperature reaches an unsafe level.
Every few weeks I open my system unit and clean the fins on the heat sink that sits under the CPU. When they collect dust it restricts the airflow and prevents proper cooling. I just did that on my system and the CPU temperature dropped by ten degrees!
Download the free Speedfan utility and it will tell you the temperature at which your CPU and hard drives are running.
Help, my memory is failing me!

If you determine that overheating is not the problem, the most likely suspect is bad memory. The best way to find the culprit is to pop open the system unit, remove (or replace) one RAM stick and see if the problem is solved. Run your system for a while and if the problem goes away, you win!
If not... lather, rinse and repeat for each RAM stick until you find the one that's misbehaving.
 
Inazimika kivipi? Inafanya Shut Down au kama umeme unakatika?
Tatizo hili hutokea pale tu ninapo-connect USB ya Internet, kuhusu heating sidhani kwa sababu PC yangu niliizima jana 11:00pm na leo asubuhi nimeiwasha lakini nilipounganisha USB ya moderm ya Internet sekunde chache hivi ikazimika bila ishara yoyote na tatizo sio kwenye umeme.

Hata hivyo bado naendelea kuitafutia ufumbuzi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom