Kwani CUF imeongea lini? We haya makongamano ya vijana na ufunguzi wa matawi kwenye vyuo vikuu unafananisha na shughuli gani ya CUF tangu uchaguzi? Au ni hasira ya kunyimwa uwaziri kivuli? Kuwa mkweli.Naona unaisifia mvua !
Hivi hamuwezi kujibu kwanini Chadema ipo kimya ?/7 mpaka mnakuja na mambo yanayowaelekea wenyewe.