Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
1:Mtoto akizaliwa anatolewa nnje baada ya siku 40! 2:Mtu akifa, siku ya 40 anafanyiwa ibada! 3:Za mwizi 40! 4😛asaka ni baada ya siku 40 toka majivu! 5:Kipindi cha Nuhu mvua ilinyesha siku 40!