Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,892
Kwa wale tuliowakosea Jan mpaka June 31, 2025
Tunaomba tusameheane
Samehe ili Mungu akusamehe
Usiponisamehe unafanya maisha yako kuwa magumu, na mimi niliyekukosea kurahisisha maisha ya baadaye
Mungu akubariki
Msamaha ni moja ya ibada kufika mbinguni
Tunaomba tusameheane
Samehe ili Mungu akusamehe
Usiponisamehe unafanya maisha yako kuwa magumu, na mimi niliyekukosea kurahisisha maisha ya baadaye
Mungu akubariki
Msamaha ni moja ya ibada kufika mbinguni