Kwa niaba ya Wananchi wa Kigamboni tunaomba Serikali yetu ifikirie mbinu mbadala na sio aina zile za vivuko

mr c

Member
Jan 16, 2019
47
55
Assalam aleykum!

Naanza na waziri husika technology inayotumika kuvuka ya kizamani sana hatuend na wakat wala muda,mfano siku mbili hizi MV KAZI kimeharibika kumetokea usumbufu mkubwa na katika taarifa ya habari nimesikia mna mpango wa kutengeneza kivuko cha nne

Ni hivii hata kikija kivuko cha nne wala sio njia mbadala ya uvushaji wa watu na vyombo,nna omba mfikirie njia mbadala ya watu na vyombo kuvuka

Hiyo technology ya vivuko ibaki kwa ajili ya utalii ila haiendani na kasi ya Dunia ya leo

Sitaki kuamini haiwezekan hata kama Meli zinapita ila siwez kuwashauri nini kifanyike ila ipo wazi pale kunahitaji njia mbadala na aina zile za Vivuko

Wabillah Tawfiq
 
Kuwa na subira daraja la Salenda linaelekea kuzinduliwa. Punde itajengwa daraja refu Afrika na duniani, kutoka Ikulu kwa Mwinyi Zenj hadi Magogoni kwa Bi Mikopo.
 
kenya likoni pale wameka floating bridge ambalo wapita kwa miguu na waendesha baiskeli wanapita. hujifunga pindi meli inapopita. ni idea nzuri sana kusave angalau 80 percent ya raia ambao daraja hilo litakua msaada mkubwa ..tatizo huwa ni ulaji.. as long as revenue zinasoma, watu wana ulaji wao hapo, watu wana ajira zao ie macaptain, engineer na kuna maboss wanakula hapo ndo inakua tabu wao kufikiria kama unavofikiria wewe mwananchi kama mimi.
 
Bandari ya dar ilitakiwa ifichwe huko kigamboni kwenye eneo kubwa na sio pale. Sema nini msiwe na hofu mtapewa maboya muanze kupiga mbizi
 
Imagine mtu anasubiri pantoni kwa 40 minutes.
Huu ni ufala. Unakuta mtu una miadi ya kibiashara umetoka home fresh ukifika hapa muda wote unapoteza kusubiri uvuke tu mita 500 hivi.
 
Kuwa na subira daraja la Salenda linaelekea kuzinduliwa. Punde itajengwa daraja refu Afrika na duniani, kutoka Ikulu kwa Mwinyi Zenj hadi Magogoni kwa Bi Mikopo.
Madhara ya kula ugali dona haya.

Daraja likijengwa hadi zanzibar litasaidia vipi kigamboni?
 
Imagine mtu anasubiri pantoni kwa 40 minutes.
Huu ni ufala. Unakuta mtu una miadi ya kibiashara umetoka home fresh ukifika hapa muda wote unapoteza kusubiri uvuke tu mita 500 hivi.

Acha kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom