Kwa niaba ya muulizaji

Kwa niaba ya muulizaji

Baba wa Mapaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
1,828
Reaction score
1,662
Nilikuwa nimekaa zangu pande flani mara akaja dada akauliza


"Iv walioenda kupokea ndege wamesharudi?
Maana mume wangu simuoni"

Nimjibuje?

@ Entertainment
 
Mwambie walipopokea ndege tu wakaenda mbeya kutambika kwahiyo anasubiri treni ya j.tatu inayotoka Zambia
 
Back
Top Bottom