Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 887
- 4,133
Game ya Tanzania na Zambia na game ya leo ni Ishara tosha kwamba yule kocha mgeni alikuwa ahujumu timu yetu. Angalia first 11 ya leo inavyopiga mpira wa kisasa, akina Fei Toto walikuwa wanafanya nini benchi?
Kwa hizi game mbili vs game ya majaribio na Egypt na game ya Morroco ni wazi kocha mtanzania amefanya kazi kubwa sana kupanga kikosi. Ametumia wachezaji wale wale kupata first eleven nzuri. Naamini angeanza toka mwanzo tungekuwa na timu bora zaidi ya tuliyonayo..
Kibaya zaidi unaweza kukuta huyu Mtanzania analipwa mshahara na posho ndogo mgeni analipwa zaidi ya mara 10 yake.
Tuachane na rangi tujali watu wetu kimaslahi na kikazi.
Kwa hizi game mbili vs game ya majaribio na Egypt na game ya Morroco ni wazi kocha mtanzania amefanya kazi kubwa sana kupanga kikosi. Ametumia wachezaji wale wale kupata first eleven nzuri. Naamini angeanza toka mwanzo tungekuwa na timu bora zaidi ya tuliyonayo..
Kibaya zaidi unaweza kukuta huyu Mtanzania analipwa mshahara na posho ndogo mgeni analipwa zaidi ya mara 10 yake.
Tuachane na rangi tujali watu wetu kimaslahi na kikazi.