Kwa mwenye uzoefu wa line ya uwakala anisaidie kwa hili

xenon

Senior Member
Nov 17, 2016
130
79
Nimenunua line ya uwakala ya VODA kwa mtu nikawa naifanyia kazi kwa muda tu mrefu kidogo na kwabahati mbaya ofisi yangu ikawa na migogoro ikawa ikawa haifanyi kazi kwa muda ikaja ikafungiwa na wakala mkuu wa hiyo line simfahamu na nimenunua kwa mtu tu na katika hiyo line kuna pesa lengo kubwa ya hii thread nitawezaje kumjua wakala mkuu wa hii lini ili niweze kuifungua na kuweza kuipata pesa yangu or kama kuna njia yoyote naombeni munijuzee nimekwama natumai wapo watakao nisaidia.Ahsanten
 
Hapo ni aliyekuuzia hiyo line ndo wakufuatilia kwa sababu usajiri umefanyika kupitia documents zake kama TIN Number, leseni ya biashara na vitambulisho.
Kwa hiyo wewe voda hawakufahamu wanaemfahamu ni mwenye hivyo vilivyotumika kusajiria. So kama aliyekuuzia hayupo ndo basi hiyo.
 
Hapo ni aliyekuuzia hiyo line ndo wakufuatilia kwa sababu usajiri umefanyika kupitia documents zake kama TIN Number, leseni ya biashara na vitambulisho.
Kwa hiyo wewe voda hawakufahamu wanaemfahamu ni mwenye hivyo vilivyotumika kusajiria. So kama aliyekuuzia hayupo ndo basi hiyo.
Mbona unanikatisha tamaaa tena mkuu
 
Mbona unanikatisha tamaaa tena mkuu
Ndiyo hivyo mkuu... kwa sababu kule anaejulikana ni huyo aliekuuzia, jina lake ndio limetumika kusajiria hiyo line na vitu vingine kuanzia Tin number, kitambulisho cha kupigia kura/ cha urai ni chake na wana passport sizes zake. Sasa wewe utaanzaje anzaje kuwaelezea na pale cha kwanza watataka copy ya kitambulisho kilichotumika kusajiria
 
Mbona unanikatisha tamaaa tena mkuu
huo ndio ukwel mkuu muhusika anatakiwa aende vodashop na vtu vifuatavyo tin no,leseni ya biashara,kitambulisho cha mpiga kula,pia awe anajua no ya cm ya hiyo till,store no, na kiasi kilichopo hapo unaweza kusaidiwa
 
Nimenunua line ya uwakala ya VODA kwa mtu nikawa naifanyia kazi kwa muda tu mrefu kidogo na kwabahati mbaya ofisi yangu ikawa na migogoro ikawa ikawa haifanyi kazi kwa muda ikaja ikafungiwa na wakala mkuu wa hiyo line simfahamu na nimenunua kwa mtu tu na katika hiyo line kuna pesa lengo kubwa ya hii thread nitawezaje kumjua wakala mkuu wa hii lini ili niweze kuifungua na kuweza kuipata pesa yangu or kama kuna njia yoyote naombeni munijuzee nimekwama natumai wapo watakao nisaidia.Ahsanten
pole mkuu voda kumjua wakala mkuu ni ngumu,cha msingi nenda ofisini za voda zilizo karibu na wewe uwaeleze shida yako,kama unaijua namba ya simu ya hiyo line,namba yako ya uwakala na utambulisho wa msaidizi inatosha kuanzia,nakushauri uende makao makuu ya voda kama upo dar es salaam
 
pole mkuu voda kumjua wakala mkuu ni ngumu,cha msingi nenda ofisini za voda zilizo karibu na wewe uwaeleze shida yako,kama unaijua namba ya simu ya hiyo line,namba yako ya uwakala na utambulisho wa msaidizi inatosha kuanzia,nakushauri uende makao makuu ya voda kama upo dar es salaam
Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom