Kwa mwenye ratiba ya kuoa nipo hapa pia nina ratiba ya kuolewa

Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35 rangi maji ya kunde kwakua najisikia rahaa nikigusa ngozi hiyo mjasiriamali mkristo mengine mwenye nia pm.
Pm mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom