Kwa mwenye feni aina ya LOFIDA (mpya au used) tuongee biashara

Kwa mwenye feni aina ya LOFIDA (mpya au used) tuongee biashara

Hot27

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
448
Reaction score
782
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji feni aina ya LOFIDA mfanano kama hio pichani.

Kwa mwenyenayo naomba tuweze zungumza na kuelewana. Mimi nipo Buguruni, Dar es salaam.
20250420_131211.jpg
 
Ni kwamba umeharibu feni ya watu na mwenyewe anataka umrudishie feni kama hiyo hiyo! Au aina hiyo ya feni ni imara na nzuri sana!! I wish ungefunguka kidogo ili na sisi tupate mwanga. Kwa nini Lofida?
 
Ni kwamba umeharibu feni ya watu na mwenyewe anataka umrudishie feni kama hiyo hiyo! Au aina hiyo ya feni ni imara na nzuri sana!! I wish ungefunguka kidogo ili na sisi tupate mwanga. Kwa nini Lofida?
Sijaharibu feni ya mtu bali ni feni nzuri sana kimuonekano na ni imara pia ndiomaana nimeiulizia ili niweze kuipata.
 
Back
Top Bottom