Kwa ambao tayali msharipoti vyuoni hebu tuambieni mliyokutana nayo huko, sema chuo ulichopo, matatizo uloyakuta, furaha na mazuri uloyapata huku.
ili wote tujadili pamoja wote hapa na tujue kuna nini huko
UDSM
watu walikua wengi na michakato ilikua mingi ila kilichonifurahisha ni baadhi ya jamaa wenyeji wenyeji walipokua wakiwaelekeza "chaka" mwaka wa kwanza maeneo fulani fulani, mfano mtu anataka kwenda admin block la coet lakin unakuta kaelekezwa CONAS. kiukwel baadhi ya wa2 walishnda wanazungushwa zungushwa 2.
Ardhi, nimefika nikapiga mastori na masela sana ... Kisha nikaenda ofisini kuchukua adm' no. Na kitabu cha by-laws!! Niliondoka mapema sikuona kama kuna issue ya maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.