Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Zikilingana pointi Hawaangalii idadi ya magoli bali walipokutana nani alifungwa goli nyingi zaidiYanga ikipigwa tatu na Medeame ipigwe nne, Belouzdad atamzidi Yanga goli moja
Zikilingana pointi Hawaangalii idadi ya magoli bali walipokutana nani alifungwa goli nyingi zaidiYanga ikipigwa tatu na Medeame ipigwe nne, Belouzdad atamzidi Yanga goli moja
Jamaa mchawi huyuAibu sana yaani umeumbuka vibaya sana mpaka unatafuta pa kutokea. Si ulikuja na uzi kuwa Yanga kaaga rasmi mashindano. Maumivu ni makali sana uliyonayo kwa sasa. Yanga hata akufungwa magoli 100 kafuzu tayari.
Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia
MADA IMEFUTWA / THREAD CLOSEDwww.jamiiforums.com
Hilo sikujua mkuu, kwa hio leo Yanga angemfunga Belouzdad goli 2 huku Belouzdad aliifunga goli 3 Yanga, inamaanisha kwamba hata Yanga angemfunga Al Ahly goli tano na Belouzdad afungwe na Medeama kisha Yanga na Belouzada wafanane point, Yanga asingefuzu ?Unajiita Bright ila mgumu kuelewa. Jamaa wanakwabia wanaagalia H2H kati ya yanga na belozidad. So Hata yanga apigwe goli 100 ameshafuzu
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Wanalinganisha magoli waliyofungana endapo tu wamelingana pointi, kama Yanga angeshinda goli 2 kwa CRB na goli 3 kwa Ahly angapita maana angekuwa na pointi nyingi kuliko CRBHilo sikujua mkuu, kwa hio leo Yanga angemfunga Belouzdad goli 2 huku Belouzdad aliifunga goli 3 Yanga, inamaanisha kwamba hata Yanga angemfunga Al Ahly goli tano asingefuzu ?
We kichwa chako kipoje mkuu,unajibiwa unauliza tena kitu kile kileYanga ikipigwa tatu na Medeame ipigwe nne, Belouzdad atamzidi Yanga goli moja
Huyu bwana sijui haelewi?Hawaangalii gd wanaangalia mlipokutana nani alikula goli nyingi,,,kwahio Yanga ameshapita
Mkuu una kichwa kigumu sana. Yanga angeshinda leo 2 kisha akamfunge Al Ahly atakuwa na point 11. Belouzad akimfunga medeama mechi ya mwisho atakuwa na pointi 8, asingevuka. Watavuka Yanga mwenye pointi 11 na Al Ahly mwenye pointi 9.Hilo sikujua mkuu, kwa hio leo Yanga angemfunga Belouzdad goli 2 huku Belouzdad aliifunga goli 3 Yanga, inamaanisha kwamba hata Yanga angemfunga Al Ahly goli tano na Belouzdad afungwe na Medeama kisha Yanga na Belouzada wafanane point, Yanga asingefuzu ?
haitaathiri chochote yanga anakwendaIkiwa Yanga atafungwa goli tatu huko Misri na Belouzdad amfunge Medeama goli nne ?
Inaonekana wewe shuleni ulizungusha maana kichwa chako ni kigumu kuelewa, kinachoangaliwa hapo ni head to head, Belouzdad kwao alishinda 3, na wao kwa mkapa wamepakatwa 4, kwa hesabu nyepesi tiyali wametupwa nje ya michuano ata wakimfunga medeama goli 100,EDIT: Asanteni kwa ufafanuzi, Nimepitwa na sheria za mpira, sikuhizi hawaangalii GD mkifanana point, wanaangalia nani kamfunga mwenzake nyingi
View attachment 2915213
1. AL AHLY - point 9 (goli +4)
2. YANGA - point 8 (goli +4)
3. CR BELOUZDAD point 5 - (goli -2)
4. MEDEAMA point 5 - (goli -4)
Mechi za kumalizia
Al Ahly vs Yanga - Misr
Belouzdad vs Medeama - Algeria
Medeama ni kibonde wa kundi si ajabu akapigwa hata nne, Yanga na Al Ahly washajipigia za kutosha wakiwa nyumbani
IKIWA YANGA ATAPIGWA TATU KAMA ALIZOPIGWA NA BELOUZDAD UGENINI, KISHA MEDEAME APIGWE NNE NA BELOUZDAD, SAFARI ITAENDELEA ?
HahahahaWe kichwa chako kipoje mkuu,unajibiwa unauliza tena kitu kile kile
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaAibu sana yaani umeumbuka vibaya sana mpaka unatafuta pa kutokea. Si ulikuja na uzi kuwa Yanga kaaga rasmi mashindano. Maumivu ni makali sana uliyonayo kwa sasa. Yanga hata akufungwa magoli 100 kafuzu tayari.
Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia
MADA IMEFUTWA / THREAD CLOSEDwww.jamiiforums.com
Haamini,, kuna thread lake huko kalikimbia sahivi ni aibu tuWe kichwa chako kipoje mkuu,unajibiwa unauliza tena kitu kile kile
Sent using Jamii Forums mobile app
H2H haitabadirikaYanga ikipigwa tatu na Medeame ipigwe nne, Belouzdad atamzidi Yanga goli moja