Kwa mshahara wangu wa million moja, itanichukua miaka mingapi kununu hii chuma?

Kwa mshahara wangu wa million moja, itanichukua miaka mingapi kununu hii chuma?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,712
Reaction score
11,611
Wakuu kama mada inavyojieleza hapo, nijichange vipi aiseeh niivute hii chuma ya ndoto zangu kabla sijadanja.


9FE7037B-5438-4B50-BA21-61DFB39C7AB9.jpeg
 
Land Cruiser J300 2022 used under 40,000 km unaweza ipata kwa CIF ya $ 80,000 hapo BF.

TRA watataka Tsh 110,000,000 cash.

Jumla roughly Mil 320 za Kitanzania.

Kwahiyo kwa mshahara wako wa Mil 1, kama wote unasevu bila kutumia utahitaji miezi 320 ambayo ni sawa na miaka 26.

Ukianza leo utanunua mwaka 2051 March.

Tumeassume dollar ipo constant na thaman ya gari haijabadirika wala kodi.
 
Back
Top Bottom