Kwa mpango huu hata mimi nitashindwa kupata mke

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Aug 29, 2007
841
175
Ikiwa kweli wanawake watafata fedha ilipo na siyo mapenzi;hata mimi nitakuwa na wakati mgumu au nitashindwa kabisa kupata mke mwenye mapenzi ya dhati.
 

Attachments

  • Fuedha.jpg
    Fuedha.jpg
    12.7 KB · Views: 494
Mapenzi ya dhati yananunuliwa siku hizi...
Upendo ambao mwanamke atakupa bure ni ule aliokupa mamako tu.
Kwishnei!

Mkuu bado kuna mapenzi ya kweli bana
Kwani mapenzi yako na mkeo wa ndoa nayo yananunuliwa au uko nae ndani ya nyumba sababu ya kwamba unampa pesa
 
Mkuu bado kuna mapenzi ya kweli bana
Kwani mapenzi yako na mkeo wa ndoa nayo yananunuliwa au uko nae ndani ya nyumba sababu ya kwamba unampa pesa


napita tu hapa,.................................................
 
Mi mwenyewe biashara za hivi huwa sizitaki kabisa
ingawaje mameo mengi yako after cash money
 
Fuedha.jpg Kuna ukweli kiasi fulani ila ilibidi aseme kabisa hiyo bank iwe Bank Kuu isije ikawa Merridien Biao Bank!
 
Mkuu bado kuna mapenzi ya kweli bana
Kwani mapenzi yako na mkeo wa ndoa nayo yananunuliwa au uko nae ndani ya nyumba sababu ya kwamba unampa pesa

imekuwa bora liende tu. Sasa akijiendekeza si atakuwa haolewi?
Ndoa kimekuwa si kipimo cha mapenzi, ila timizo la haja za kimaisha. Tunarudi kama zamani ambapo binti huchaguliwa mume na kijana akachaguliwa mke, haijalishi wamependana au la.
 
Back
Top Bottom