SIMBA WA TARANGA
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 987
- 220
Naombeni mnisaidie katika hili, je? CCM ina-wakaguzi wa ndani (internal auditors)? Ina-mdhibiti na mhakiki mali za chama? ina-wahasibu qualified?
Hii ni kuanzia gazi ya chini kabisa hadi ngazi ya kitaifa. Na CDM, CUF, NCCR na vyama vyote kadharika.
Hii ni kuanzia gazi ya chini kabisa hadi ngazi ya kitaifa. Na CDM, CUF, NCCR na vyama vyote kadharika.