Kwa mliowahi kwenda scoan au kwa TB Joshua hii ni halali au nimetapeliwa

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
3,377
8,086
habarin wadau..

kuna jambo linanisumbua japo lilinitokea miezi kazaa iliyopita..

mama yangu alienda ibada nigeria kwa tb joshua

nililipa usd 1700 kwa trip arrangement via Scoan tanzania ofisi pale near mariedo...ila ililipwa via bank account waliyonipatia..

na baadae nikalipia 132,000 ambayo ilikuwa viza fee ya ubalozi wa nigeria tanzania...

hayo yote nililipa kwa amani kabisa kutoka moyoni maana utaratibu wa malipo haukunipa maswali mengi.. maana deposit nilifanya crdb bank via account ya scoan tanzania.. na pia ya ubalozi wa nigeria nayo nilifanya bank nbc tanzania.

baada ya hapo kuna hela niliambiwa niende nayo pale ofisini usd 100 ambayo ni cash.. sikupewa risiti yoyote japo niliuliza kuhusu risiti majibu yakawa ya chenga chenga..

maana niliambiwa ya kuwahonga maofisa ili viza, ticket etc zipatikane haraka haraka.. nikawaza kweli kwenda kwa mtumishi wa Mungu kunahitaji rushwa yeyote... watu wa Mungu wanatoaga rushwa? nikajua nimeliwa ila sikutaka mama yangu akose ibada aliyoniomba miaka mingi nikakaa kimya....

nikalipa sababu nilikuwa na nia tu ya kumpa furaha mama yangu aende ibada maana alitaka sana kusali scoan isingekuwa mama yangu nisingelipa..

swali nililojiuliza why hii usd 100 hawakusema niiweke bank kwenye account yao... why watake cash na huku hawatoi risiti...

na bado nikauziwa tshirt kwa elfu 25 kwa lazima... tshirt ambayo haifiki hata elfu kumi maana aina yake ni first light, made in arusha tanzania,,,, kwa wanaojua tshirt wanaijua.... bei ya jumla haizidi elfu 6.... kuinununa plus gharama ya printing (screen printing ile 2000) tukauziwa hiyo tshirt kwa 25,000 elfu na ni lazima uinunue.. maana mnavaa sare sare airport.... mi nilikataa mama yangu akasema ninunulie mwanangu nikakaa kimya pia

akili yangu inaniambiaga hela yeyote ambayo hailipwi kwa mfumo wa fedha iwe bank, mpesa, max malipo etc... ni hela ya watu wameila tu.. maana haina audit???

SCOAN tanzania najua upo humu.. naomba unitoe hofu kwa jibu zuri maana nikiiiwaza usd 100 yangu nakosa amani
 
habarin wadau..

kuna jambo linanisumbua japo lilinitokea miezi kazaa iliyopita..

mama yangu alienda ibada nigeria kwa tb joshua

nililipa usd 1700 kwa trip arrangement via Scoan tanzania ofisi pale near mariedo...ila ililipwa via bank account waliyonipatia..

na baadae nikalipia 132,000 ambayo ilikuwa viza fee ya ubalozi wa nigeria tanzania...

hayo yote nililipa kwa amani kabisa kutoka moyoni maana utaratibu wa malipo haukunipa maswali mengi.. maana deposit nilifanya crdb bank via account ya scoan tanzania.. na pia ya ubalozi wa nigeria nayo nilifanya bank nbc tanzania.

baada ya hapo kuna hela niliambiwa niende nayo pale ofisini usd 100 ambayo ni cash.. sikupewa risiti yoyote japo niliuliza kuhusu risiti majibu yakawa ya chenga chenga..

nikalipa sababu nilikuwa na nia tu ya kumpa furaha mama yangu aende ibada maana alitaka sana kusali scoan isingekuwa mama yangu nisingelipa..

swali nililojiuliza why hii usd 100 hawakusema niiweke bank kwenye account yao... whi watake cash na huku hawatoi risiti...

akili yangu inaniambiaga hela yeyote ambayo hailipwi kwa mfumo wa fedha iwe bank, mpesa, max malipo etc... ni hela ya watu wameila tu.. maana haina audit???

SCOAN tanzania najua upo humu.. naomba unitoe hofu kwa jibu zuri maana nikiiiwaza usd 100 yangu nakosa amani

Vip ulipoenda ulipata utatuzi wa maswala yaliyokua yanakusumbua?
Je ukiwa huko Nigeria hukumuuliza Tb Joshua mwenyewe kuhusu hilo na je alisemaje?
 
Alienda mama yangu sio mimi hapa, na ni mzee na uwezo wake wa kufikiri ni mdogo... mimi nilimlipia tu... mama yangu ananijua mimi ni mbishi hasa kwenye mambo yenye kona kona.. ila aliomba zawadi ya safari ya kwenda kwa tb joshua na sikutaka mnyima furaha


Vip ulipoenda ulipata utatuzi wa maswala yaliyokua yanakusumbua?
Je ukiwa huko Nigeria hukumuuliza Tb Joshua mwenyewe kuhusu hilo na je alisemaje?
 
habarin wadau..

kuna jambo linanisumbua japo lilinitokea miezi kazaa iliyopita..

mama yangu alienda ibada nigeria kwa tb joshua

nililipa usd 1700 kwa trip arrangement via Scoan tanzania ofisi pale near mariedo...ila ililipwa via bank account waliyonipatia..

na baadae nikalipia 132,000 ambayo ilikuwa viza fee ya ubalozi wa nigeria tanzania...

hayo yote nililipa kwa amani kabisa kutoka moyoni maana utaratibu wa malipo haukunipa maswali mengi.. maana deposit nilifanya crdb bank via account ya scoan tanzania.. na pia ya ubalozi wa nigeria nayo nilifanya bank nbc tanzania.

baada ya hapo kuna hela niliambiwa niende nayo pale ofisini usd 100 ambayo ni cash.. sikupewa risiti yoyote japo niliuliza kuhusu risiti majibu yakawa ya chenga chenga..

maana niliambiwa ya kuwahonga maofisa ili viza, ticket etc zipatikane haraka haraka.. nikawaza kweli kwenda kwa mtumishi wa Mungu kunahitaji rushwa yeyote... watu wa Mungu wanatoaga rushwa? nikajua nimeliwa ila sikutaka mama yangu akose ibada aliyoniomba miaka mingi nikakaa kimya....

nikalipa sababu nilikuwa na nia tu ya kumpa furaha mama yangu aende ibada maana alitaka sana kusali scoan isingekuwa mama yangu nisingelipa..

swali nililojiuliza why hii usd 100 hawakusema niiweke bank kwenye account yao... why watake cash na huku hawatoi risiti...

akili yangu inaniambiaga hela yeyote ambayo hailipwi kwa mfumo wa fedha iwe bank, mpesa, max malipo etc... ni hela ya watu wameila tu.. maana haina audit???

SCOAN tanzania najua upo humu.. naomba unitoe hofu kwa jibu zuri maana nikiiiwaza usd 100 yangu nakosa amani
Chukulia ka yote umefanya kwa ajili ya mama yako mpendwa.
 
habarin wadau..

kuna jambo linanisumbua japo lilinitokea miezi kazaa iliyopita..

mama yangu alienda ibada nigeria kwa tb joshua

nililipa usd 1700 kwa trip arrangement via Scoan tanzania ofisi pale near mariedo...ila ililipwa via bank account waliyonipatia..

na baadae nikalipia 132,000 ambayo ilikuwa viza fee ya ubalozi wa nigeria tanzania...

hayo yote nililipa kwa amani kabisa kutoka moyoni maana utaratibu wa malipo haukunipa maswali mengi.. maana deposit nilifanya crdb bank via account ya scoan tanzania.. na pia ya ubalozi wa nigeria nayo nilifanya bank nbc tanzania.

baada ya hapo kuna hela niliambiwa niende nayo pale ofisini usd 100 ambayo ni cash.. sikupewa risiti yoyote japo niliuliza kuhusu risiti majibu yakawa ya chenga chenga..

maana niliambiwa ya kuwahonga maofisa ili viza, ticket etc zipatikane haraka haraka.. nikawaza kweli kwenda kwa mtumishi wa Mungu kunahitaji rushwa yeyote... watu wa Mungu wanatoaga rushwa? nikajua nimeliwa ila sikutaka mama yangu akose ibada aliyoniomba miaka mingi nikakaa kimya....

nikalipa sababu nilikuwa na nia tu ya kumpa furaha mama yangu aende ibada maana alitaka sana kusali scoan isingekuwa mama yangu nisingelipa..

swali nililojiuliza why hii usd 100 hawakusema niiweke bank kwenye account yao... why watake cash na huku hawatoi risiti...

akili yangu inaniambiaga hela yeyote ambayo hailipwi kwa mfumo wa fedha iwe bank, mpesa, max malipo etc... ni hela ya watu wameila tu.. maana haina audit???

SCOAN tanzania najua upo humu.. naomba unitoe hofu kwa jibu zuri maana nikiiiwaza usd 100 yangu nakosa amani
Wewe ni MKATA KIU kweli kweli. Umemkata kiu mama ako kwa kumpeleka sehemu aliyokuwa nayo kiu muda mrefu.
Hongera mkuu mkata kiu
 
Wote n ukosefu wa imani izo pesa ungepeleka kanisani kwako ungefunguliwa kuliko kuangaika kote adi nigeria kwa mana bii wa uongo
Mimi nime kwenda huko mara mbili Kwa taratibu tofauti, mara ya kwanza Kupitia huyo mamamuliyemtaja anaitwa Martha Kaaya, Na mara ya pili niliomba moja Kwa moja Kwa Kupitia huduma Yetu ya maombi ( Kwa sasa imefungwa). Hii mara ya pili nilikua Na maw asiliano ya moja Kwa moja Na Scoan Na hakukua Na fedha zaidi ya Zile Za malezi, na visa tuliyoomba moja Kwa moja ubalozi Kupitia Kwa receptionist wao anaitwa Mage. Sikumbuki ilikua kiasi gani lakini tulipewa receipts. Garama ya Usafiri tulibuku wenyewe Na kukaribisha ticket wenyewe, no lingo longo.

Natambua pia Mara Nyingi kumekua Na malalamiko mengi juu ya hawa coordinators. Mungu atusaidie nafikiri kuna umuhimu wa Kuwa wazi kusema hizo hela Za Ziara huwa ni Za nini, Na Kama ni garama ya facilitation wewe wazi tu. Ni juzi juzi tunnikitumiwa ujumbe toka Kwa wao, mmoja alitangaza garama ya use 1600 ambaye na mwingine 1700, sasa naona huyo wa Dola 100 alishusha ili kuvutia wateja maana nafikiri Safari ilikua moja. Sasa pamoja ya kwama ni mambo ya kimungu Mungu atusaidie sana tusiendelee kuliaibisha jina la kristo . Ni muhimu hao am coordinator, mama Martha, mama Ngimbwa Na mama Blandina watumia hekima kulitengeneza hiki Jambo ili kupunguza Maneno ya kinyume juu ya huduma hii ya Mtumishi wa Mungu, Huo Ndio wajimbo msisikie tu kwenye kupokea hela Za watu Na kuwapeleka mbona Scoan wako wazi? Watu was apolalamika wanashindwa kupokea, msiwe ukuta wakina mama wazuri.
 
habarin wadau..

kuna jambo linanisumbua japo lilinitokea miezi kazaa iliyopita..

mama yangu alienda ibada nigeria kwa tb joshua

nililipa usd 1700 kwa trip arrangement via Scoan tanzania ofisi pale near mariedo...ila ililipwa via bank account waliyonipatia..

na baadae nikalipia 132,000 ambayo ilikuwa viza fee ya ubalozi wa nigeria tanzania...

hayo yote nililipa kwa amani kabisa kutoka moyoni maana utaratibu wa malipo haukunipa maswali mengi.. maana deposit nilifanya crdb bank via account ya scoan tanzania.. na pia ya ubalozi wa nigeria nayo nilifanya bank nbc tanzania.

baada ya hapo kuna hela niliambiwa niende nayo pale ofisini usd 100 ambayo ni cash.. sikupewa risiti yoyote japo niliuliza kuhusu risiti majibu yakawa ya chenga chenga..

maana niliambiwa ya kuwahonga maofisa ili viza, ticket etc zipatikane haraka haraka.. nikawaza kweli kwenda kwa mtumishi wa Mungu kunahitaji rushwa yeyote... watu wa Mungu wanatoaga rushwa? nikajua nimeliwa ila sikutaka mama yangu akose ibada aliyoniomba miaka mingi nikakaa kimya....

nikalipa sababu nilikuwa na nia tu ya kumpa furaha mama yangu aende ibada maana alitaka sana kusali scoan isingekuwa mama yangu nisingelipa..

swali nililojiuliza why hii usd 100 hawakusema niiweke bank kwenye account yao... why watake cash na huku hawatoi risiti...

akili yangu inaniambiaga hela yeyote ambayo hailipwi kwa mfumo wa fedha iwe bank, mpesa, max malipo etc... ni hela ya watu wameila tu.. maana haina audit???

SCOAN tanzania najua upo humu.. naomba unitoe hofu kwa jibu zuri maana nikiiiwaza usd 100 yangu nakosa amani
Mie nilienda occasion ya 9 December...
I paid 1500$ +100$ ( for anointed water.. Sticker..and bracelet,,etc..)
Scoan hakuna kona kona ila prices zinatofautiana kutokana na accommodation unayochagua
Kuna doms...double rooms... Single rooms...na family rooms.
So it depends ulimchagulia ipi.
 
Asikiae na afahamu: mwanadamu ili afanikiwe katika jambo lolote ni lazima awe na uhusiano mzuri na Mungu aliyeumba mbingu na nchi

Mahala popote pale ambapo watu hawaitwi kuokoka iwe kwa mtumishi yoyote yule ila anatangaza miujiza tu na mafanikio ndugu zangu muogopeni mtu huyo na Msiende katika madhabahu hiyo

Mungu akitaka kuponya mtu hushuka mwenyewe , ili wanadamu wajue , hatumii vitu kama mafuta , maji stiker muonapo mambo haya mujue kwamba ibilisi ndiye atendaye
Mungu ni neno nguvu ya Mungu inaambatana na neno , kwahiyo unapopewa mafuta yamembatana na neno lipi , itoshe tu kwamba ndugu muwe makini
Katika ulimwengu wa roho mafuta anapakwa mtawala na ndio matumizi yake , hakuna mafuta ya baraka. Ukiona yanatumika tofautina hivyo ni mjumbe wa ibilisi

Pia kumbukeni kwa Mungu kila jambo hasa la upako kwa Mungu lina viwango huanza chini na huzidi kuongezeka kila kukicha ukimuona mtu kaibuka tu jiulize mara mbili mara tatu maana haya unayoyaona duniani ya uzoefu yalianzia kwa Mungu , kama wanadamu hawawezi kukuamini kirahisi katika mambo mengi hasa ya msingi basi Mungu ni zaidi.

Usimuamini kila mtu anayejiita mtumishi wa Mungu wengine wanaigiza ili wapate fedha.

Mwaka 2017 uwe mwaka wa kuwakataa watumishi wa Mungu feck
 
Mie nilienda occasion ya 9 December...
I paid 1500$ +100$ ( for anointed water.. Sticker..and bracelet,,etc..)
Scoan hakuna kona kona ila prices zinatofautiana kutokana na accommodation unayochagua
Kuna doms...double rooms... Single rooms...na family rooms.
So it depends ulimchagulia ipi.

hizo gharama zina include ticket return, na kukaa kwa siku ngapi
 
Mie nilienda occasion ya 9 December...
I paid 1500$ +100$ ( for anointed water.. Sticker..and bracelet,,etc..)
Scoan hakuna kona kona ila prices zinatofautiana kutokana na accommodation unayochagua
Kuna doms...double rooms... Single rooms...na family rooms.
So it depends ulimchagulia ipi.

hiyo 1500$ ni nauli ya kwenda na kurudi na chakula au ni tofauti? Na accomodation ya cheap kabisa ni sh ngap?
 
Asikiae na afahamu: mwanadamu ili afanikiwe katika jambo lolote ni lazima awe na uhusiano mzuri na Mungu aliyeumba mbingu na nchi

Mahala popote pale ambapo watu hawaitwi kuokoka iwe kwa mtumishi yoyote yule ila anatangaza miujiza tu na mafanikio ndugu zangu muogopeni mtu huyo na Msiende katika madhabahu hiyo

Mungu akitaka kuponya mtu hushuka mwenyewe , ili wanadamu wajue , hatumii vitu kama mafuta , maji stiker muonapo mambo haya mujue kwamba ibilisi ndiye atendaye
Mungu ni neno nguvu ya Mungu inaambatana na neno , kwahiyo unapopewa mafuta yamembatana na neno lipi , itoshe tu kwamba ndugu muwe makini
Katika ulimwengu wa roho mafuta anapakwa mtawala na ndio matumizi yake , hakuna mafuta ya baraka. Ukiona yanatumika tofautina hivyo ni mjumbe wa ibilisi

Pia kumbukeni kwa Mungu kila jambo hasa la upako kwa Mungu lina viwango huanza chini na huzidi kuongezeka kila kukicha ukimuona mtu kaibuka tu jiulize mara mbili mara tatu maana haya unayoyaona duniani ya uzoefu yalianzia kwa Mungu , kama wanadamu hawawezi kukuamini kirahisi katika mambo mengi hasa ya msingi basi Mungu ni zaidi.

Usimuamini kila mtu anayejiita mtumishi wa Mungu wengine wanaigiza ili wapate fedha.

Mwaka 2017 uwe mwaka wa kuwakataa watumishi wa Mungu feck
Sorry. Unamaanisha TB Joshua ni feck??
Ulishamshuhudia Mara ngapi?
Au stories tuu??

Ni dhambi kumkashfu mtumishi Wa Mungu bila kuwa na uhakika utajitafutia laana ndugu..

Ivi unajua ni roho ngapi zinaokolewa kupitia yeye??
Unajua in watu wangapi anawasaidia kiroho na kimwili??
Ulishawahi sikiliza mahubiri yake akakufundisha tofauti na kilichoandikwa kwenye biblia?? Maana bible ndo katiba ya wote wamuaminio Mungu.

Embu Fanya tafiti kwanza ndugu uende ata Mara 10.., usikilize clips zake.. Uangalie Emmanuel TV.
Utapata jibu sahihi
 
Asikiae na afahamu: mwanadamu ili afanikiwe katika jambo lolote ni lazima awe na uhusiano mzuri na Mungu aliyeumba mbingu na nchi

Mahala popote pale ambapo watu hawaitwi kuokoka iwe kwa mtumishi yoyote yule ila anatangaza miujiza tu na mafanikio ndugu zangu muogopeni mtu huyo na Msiende katika madhabahu hiyo

Mungu akitaka kuponya mtu hushuka mwenyewe , ili wanadamu wajue , hatumii vitu kama mafuta , maji stiker muonapo mambo haya mujue kwamba ibilisi ndiye atendaye
Mungu ni neno nguvu ya Mungu inaambatana na neno , kwahiyo unapopewa mafuta yamembatana na neno lipi , itoshe tu kwamba ndugu muwe makini
Katika ulimwengu wa roho mafuta anapakwa mtawala na ndio matumizi yake , hakuna mafuta ya baraka. Ukiona yanatumika tofautina hivyo ni mjumbe wa ibilisi

Pia kumbukeni kwa Mungu kila jambo hasa la upako kwa Mungu lina viwango huanza chini na huzidi kuongezeka kila kukicha ukimuona mtu kaibuka tu jiulize mara mbili mara tatu maana haya unayoyaona duniani ya uzoefu yalianzia kwa Mungu , kama wanadamu hawawezi kukuamini kirahisi katika mambo mengi hasa ya msingi basi Mungu ni zaidi.

Usimuamini kila mtu anayejiita mtumishi wa Mungu wengine wanaigiza ili wapate fedha.

Mwaka 2017 uwe mwaka wa kuwakataa watumishi wa Mungu feck
Alafu fuatilia historia ya TB Joshua.. Hajaanza kuhubiri Jana... Alianza long time ago.. Akapitia misukosuko mingi ikiwemo kufungwa..akahubir akiwa gerezan etc..
Mungu anazidi kumuinua...

Alafu jifunze hakuna belzebul awezae kumtoa belzebul...pepo hamtoi pepo mwenzie.
Pepo anatolewa na nguvu ya Mungu pekee.
AF unaniudhi unapenda kukosoa sana. We tangu umezaliwa umeponya watu Wa ngapi??
 
Back
Top Bottom