Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
Linakuja usiwe na wasiwasi. Halafu likifika port tutaangalia kama magari yetuyanaweza kulisafirisha. Kama hayawezi tutaagiza gari spesho. Likija gari tutaangalia kama barabara zetu litapita au la. Litafika tu