Kwa miswada hii Mitatu ya madini na maliasili, Prof. Palamagamba Kabudi umetisha!

!
!
Unaweza kuwa muswada mzuri sana Tena sana kabla Lissu hajatoa maoni yake. Asubuhi tu unaweza kuutumia kama toilet peper, maana Lissu atauchimba juu chini chini juu hadi umuone rubbish kabisa. Ngojea tusubiri

Na ukioa muite Tundu Lisu aje amuassess mkeo coz sina shaka Tundu Lisu is one godamned genius..
 
..OK.

..lakini hicho sicho ambacho wananchi huku mitaani wanakitarajia.

..wananchi wanataka wafidiwe kile "walichoibiwa."

..wengine wameumizwa na kuuwawa ktk maeneo ya migodi, wanahitaji kifuta machozi.

Every Victory has a sacrifice! Tunakubali tulipoteza vitu na watu but it should be no more in and after Ngosha's Era
 
Miongoni Mwa Janga la Taifa hili Ni pale Watu wenye Akili Wanaposhindwa kuzitumia na Kuamua kumkabidhi Mtu azitumie

ZIDUM FIKRA ZA TUNDU..................

Bado enzi za mwalim hazijesha ktk vichwa vya Wabongo

IT SEEMS OUR THINK TANK NOW IS MR. T. LISU..HOW STUPID???
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives
ukinitajia kesi hata moja tu mliyomfungulia LISSU na mkamshinda najitoa leo hihii JF
Naukikaa kimya inamana wewe ni ZOMBIE:(
NASUBIRI JIBUo_O
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives
Tumia akili, Prof kabudi hajawahi shinda kesi yoyote ile, Kama umewahi soma udsm ni mmoja wa maprofesa vituko, Anajisifia tu alifanya vizuri undergraduate lakini hamna kitu, anajiita nguli wa Constitution law sijui ipi? Tatizo akili zenu zimejaa chuki na wivu
 
Every Victory has a sacrifice! Tunakubali tulipoteza vitu na watu but it should be no more in and after Ngosha's Era

..exactly.

..tunatakiwa tufaidike zaidi.

..na wale walioumizwa[vilema,vifo, madhara ya kiafya] wapewe kifuta machozi.

..lakini zaidi, tutakuwa na uhakika wa kufaidika ikiwa kampuni ya umma itamiliki moja kwa moja migodi yetu, au tutakuwa na hisa nyingi zaidi ktk makampuni yanayochimba madini.
 
Miongoni Mwa Janga la Taifa hili Ni pale Watu wenye Akili Wanaposhindwa kuzitumia na Kuamua kumkabidhi Mtu azitumie

ZIDUM FIKRA ZA TUNDU..................

Bado enzi za mwalim hazijesha ktk vichwa vya Wabongo
Kama atakua na hoja za msingi bado ni msaada kwa taifa,tunahitaji sana kutumia vichwa vyetu vizuri kufikiri kabla ya kuamua mambo yenye masilahi mapana kwa taifa.
 
Yaani unataka sisi tukuletee katiba ya Warioba? Huo ni uvivu wa kiwango cha juu.

Kama wewe una shida na Katiba ya Warioba, nenda ukaichukue lakini kikubwa zaidi, hakuna Katiba ya Warioba hapa duniani bali kuna Rasimu ya Katiba.

Kwa kukusaidia zaidi, unaweza ukawa na katiba nzuri lakini kama attitude za wananchi na viongozi hazibadiliki, katiba itakuwa ni maandiko kwenye makaratasi tu ambayo hayana maana yoyote.

Waingereza na Waisrael hawana katiba ambayo ni codified lakini kwa sababu ya attitude zao kwa sasa wamepiga hatua kubwa kisiasa na kiuchumi.

Kwa kukusaidia zaidi, uncodified constitution ni mkusanyiko wa legal instruments na sheria zinazotungwa kadri siku zinavyokwenda ambazo haziko kwenye kitabu kimoja. Kwa maana nyingine, hii miswada kwa Waingereza na Waisrael kama itakuwa sheria basi kwao itakuwa ni moja ya maandiko kwenye katiba.
Mkuu umemjibu vizuri sana jana nilikua naangalia kipindi kimoja cha BBC News kinarushwa saa tano kasorobo saa za UK jamaa alisema hivyo hivyo sababu si katiba na hata sheria tatizo ni utekelezaji, imani yetu kubwa kwa awamu hii ni kwamba wanaotengeneza na kuandika hizi sheria hawana maslahi yao binafsi wakati huko nyuma watu walikua wanatunga sheria kukidhi matakwa yao na mabwana zao.
 
!
!
Unataka niamini kwamba hizi ndio kesi pekee alizozisimamia Tundu Lissu?
Mkuu kama unampenda sana Tundu Lissu omba picha yake iweke kama pambo nyumbani kwako, watu wanazungumzia maslahi mazima ya Taifa achana na Tundu Lissu anasemaje unachotakiwa kufanya ni kuweka maoni yako siyo kumngoja nini Tundu Lissu atasema. Huyu jamaa alikua mzuri sana sasa mmemjaza kichwa na misifa ya kijinga mpaka anaipinga mpaka vita alioianzisha sababu ya watu kama ninyi kumpa kichwa. Hapa Tanzania kuna wanasheria wengi sana wazuri lakini walikua hawashirikishwi katika masuala ya muhimu na huko bungeni wanasheria wetu wengi walikua wanashindwa na Lissu sababu ya uchafu wa serikali zilizopita na wao kazi yao ilikua ndiyo mzee na uchafu huo uliwafanya kina Lissu waonekane ni mabingwa sasa kuna wazawa na wazalendo kama kina Kabudi hutawasikia tena kina Lissu wakipayuka payuka kama huko nyuma. Nimempenda Zitto kaandika vizuri sana katika facebook page yake na katoa maoni mazuri. Leo Lissu yupo TLS kupigania ulaji zaidi ya kukaa bungeni kujadili jambo la maana halafu mnataka awe rais wa Tanzania.
 
Ni vizuri anarudisha kile ambacho tulimwezesha kama taifa kwa kutumia kodi zetu ili apate elimu yenye manufaa kwa taifa.

Pongezi kwake kwa kulitendea haki taifa.
Tunamsubiri ''debe tupu'' kutoka upande ule kutoa mipovu eti nae anajifanya nguli wa sheria,tuone atakavyoshoboka na nukuu zake za kijinga.
 
Rais Magufuli ninakupongeza wewe na wale wote waliokushauri ili kumteua Prof. Kabudi katika nafasi ya Waziri wa Katiba na Sheria.

Prof. Kabudi na timu yake ya wanasheria wameanza kutoa matunda yao mema kwa taifa kupitia kazi zao kama zilivyobainika kwenye miswada hii.

Kwa miswada hii iliyopelekwa bungeni ili kujadiliwa na kuwa sheria haina maneno mengi lakini yaliyopo yamejaa umuhimu mkubwa kisheria kwa maslahi ya taifa, sina shaka kwa kiwango kikubwa taifa litakuwa limeingia katika ukurasa mpya katika safari ya kulinda maliasili zake ili zinufaishe taifa kwa kizazi hiki na kijacho.

Kama Rais Magufuli alivyosema, ‘’tulichelewa lakini kama taifa tumeamua kufika’’ na kwa miswada hii ninatumaini tutafika.

Yaliyopo katika miswada hii ya sheria ni pamoja na;

>>Bunge kupitia mikataba yote ya maliasili za nchi kuangalia maslahi ya Watanzania na baada ya kubaini masharti hasi katika mikataba hiyo Bunge linaweza kuitaka Serikali kufanya majadiliano upya na upande wa pili wa mkataba ili kuondoa masharti hayo.

>>Kuweka utaratibu wa bunge kufanya mapitio na maridhiano ya mikataba.

>>Kufanya mapitio madaraka ya Waziri na Kamishna wa madini.

>>Kuimarisha mifumo ya uthibiti na uwajibikaji katika sekta ya madini na petrol.

>>Kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato kwenye sekta ya madini na petrol.

Kwa wale wanataka kuisoma hiyo miswada Gonga hapa;
LINK>>Miswada ya marekebisho ya sheria za maliasili

Hizi ni baadhi ya contents zilizoko kwenye miswada.
View attachment 532776
View attachment 532777
Sina imani na huo mswada kwa sababu lugha waliotumia ni kiingilishi ..wakiuletwa kwa kiswaingilishi ndio ntatoa maoni yangu
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives
Unazungumzia zile kesi za maelekezo?
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives
Umesahau Lissu alipigwa knock out na Tulia baada ya dakika 30 tu kwenye kesi ya mita 200
 
Back
Top Bottom