Kwa miswada hii Mitatu ya madini na maliasili, Prof. Palamagamba Kabudi umetisha!

Hawataweza ku-practise bila leseni. Awe ametoka Tanzania Bara au mkoa wa Zanzibar. Pia mtanzania au mtu yeyote aliyesomea nje lazima vyeti vyake view evaluated.

Tatizo kubwa ni jinsi ya kuingia kwenye register, unahitaji copy tu za vyeti na faini ni milioni tano tu?
Faini ya kuwa kwenye register bali huna leseni ni milioni mbili tu?

Na adhabu ni either/ or hakuna both (jail/fines). Was poorly crafted in that sense.
Tatizo Wznz watalifanya jambo la kisiasa na kuita kero. Watataka kuja na vyeti na ku practice kupitia 'Muungano'

Just think about this,wanaagiza umeme wanapelekew hawataki kulipa bill miaka 25+ !

Nadhani kuhusu faini walipaswa kuondoa na kuweka kifungo bila Faini.

Mtu hawezi kuumiza watu na kuwatapeli kwa ku practice bila usajili aambiwe kulipa faini

Kinahitajika kifungo !
 
Uko hivyo ulivyo kwasababu tu baba yako alisimama vema, si kaka, dada, wala mama yako, kwahiyo tambua maana ya kuwa mkuu wa kaya, au nchi, rais legelege huzaa taifa dhaifu, rais mla rushwa huzaa taifa la wala rushwa, hivyo ukitambua umuhimu wa kuwa na kiongozi wa nchi imara na mzalendo matunda ni makubwa. Hivyo magufuli hakuwa na power ya kukataa miswada kama individual, rais ana uwezo huo maana ni taasisi. Maelezo yenu kuhusu magufuli kuwemo bungeni hayana mashiko.
Akili kama yako hii ndo naikataa kila Siku...wanasiasa sio watu wa kuwaamini...huyo mnayehisi ni mzalendo sio mzelendo na yupo kundi moja na walewale wapigaji...hakuna mwana siasa mzalendo na hata hao wapinzani wanaopiga kelele nao ni walewale ila kwa akili yako hii ya ki zwazwa unaamini kuna mtu mzalendo kashushwa na mungu
 
Rais Magufuli ninakupongeza wewe na wale wote waliokushauri ili kumteua Prof. Kabudi katika nafasi ya Waziri wa Katiba na Sheria.

Prof. Kabudi na timu yake ya wanasheria wameanza kutoa matunda yao mema kwa taifa kupitia kazi zao kama zilivyobainika kwenye miswada hii.

Kwa miswada hii iliyopelekwa bungeni ili kujadiliwa na kuwa sheria haina maneno mengi lakini yaliyopo yamejaa umuhimu mkubwa kisheria kwa maslahi ya taifa, sina shaka kwa kiwango kikubwa taifa litakuwa limeingia katika ukurasa mpya katika safari ya kulinda maliasili zake ili zinufaishe taifa kwa kizazi hiki na kijacho.

Kama Rais Magufuli alivyosema, ‘’tulichelewa lakini kama taifa tumeamua kufika’’ na kwa miswada hii ninatumaini tutafika.

Yaliyopo katika miswada hii ya sheria ni pamoja na;

>>Bunge kupitia mikataba yote ya maliasili za nchi kuangalia maslahi ya Watanzania na baada ya kubaini masharti hasi katika mikataba hiyo Bunge linaweza kuitaka Serikali kufanya majadiliano upya na upande wa pili wa mkataba ili kuondoa masharti hayo.

>>Kuweka utaratibu wa bunge kufanya mapitio na maridhiano ya mikataba.

>>Kufanya mapitio madaraka ya Waziri na Kamishna wa madini.

>>Kuimarisha mifumo ya uthibiti na uwajibikaji katika sekta ya madini na petrol.

>>Kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato kwenye sekta ya madini na petrol.

Kwa wale wanataka kuisoma hiyo miswada Gonga hapa;
LINK>>Miswada ya marekebisho ya sheria za maliasili

Hizi ni baadhi ya contents zilizoko kwenye miswada.
View attachment 532776
View attachment 532777
Hongera Prof.Kabudi na Rais wetu.This has never happened in the History of our country.Sasa naanza kuona uhalisia wa maneno ya Rais wakati wa campaign.Alisema, tena kwa kurudia rudia"SITAWAANGUSHA." I now can see some light in the tunnel.

Oh,wabeja baba,John,wabeja.
 
Mnasifu haraka ya kukopy toka vifungu vya sheria za nchi nyingine?
Alichotunga kama yeye ni kipi?
Baya zaidi wabunge wangapi wanajua english language kwa ufasaha hadi waelewe kilicho ndani ya muswaada ilioandikwa kwa kingereza?
Miswaada imebuma hata kabla ya kuwakilisha kwani walengwa yaani wabunge watunga sheria watajadiri kivuli na sio picha harisi sababu ya" unyonge"wa lugha ya mawasiliano kisheria
Unanipinga au unanielekeza? Mbona unakua mtu wa ajabu wapi ulipoona nasifu? Sina kawaida ya kumsifu mwanariadha kabla hajamaliza mbio tumia akili zako sawasawa
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives
Mkuu tunaomba ututajie na kesi alizofaulu kushinda ...natanguliza shukrani.
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives
Lakini usimbeze Lisu, kwasababu maeneo karibu yote ambayo alishindwa kesi hayakuamuliwa kwa kuzingatia sheria, ila yaliamulia kwa kuzingatia matakwa ya watu / serikali. Kwahiyo sikubaliani na wewe kuwa Lisu si mjuzi wa sheria, hata kama ni siasa bado hizichambua sheria vizuri kuliko wanasheria wa CCM.
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives

Hao uliowataja akina kibatara ni wabunge? Umetaja alizoshindwa je hakuna kesi alizowai kushinda? Mbona hizo ujataja?
 
mogulnoise: Umeona eee, Yanga ni CCM. Kwa hiyo wametegea kipindi cha usajili wawashike viongozi wetu ili sisi Simba tuendelee kuhangaika na kesi ya viongozi na wao waendelee kusajili. Kisa, wamegundua kuwa Lowassa na Lissu ni Wana Simba.
Mmm,WaTz kweli...Ngoja nisitukane.Lakini kwa nini tuko hivi?Extreme hypocrites!
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives
mulekeze huyo jamaa naona bado hajajua kutofautia uanasheria na uanasiaasa
 
Lakini usimbeze Lisu, kwasababu maeneo karibu yote ambayo alishindwa kesi hayakuamuliwa kwa kuzingatia sheria, ila yaliamulia kwa kuzingatia matakwa ya watu / serikali. Kwahiyo sikubaliani na wewe kuwa Lisu si mjuzi wa sheria, hata kama ni siasa bado hizichambua sheria vizuri kuliko wanasheria wa CCM.

..usihangaishwe na wachangiaji kama MsemajiUkweli.

..yes, kuna wanasheria wengi sana wamebobea ktk taaluma hiyo kumzidi Tundu Lissu.

..lakini nakuhakikishia kuna waTz wachache sana wenye UJASIRI wa kupinga maovu, and speaking truth to the power, kumzidi Tundu Lissu. Za zaidi kufanya hivyo kwa kipindi kirefu kama Tundu Lissu.
 
Kwa kukusaidia, Kibatala ni mzuri kisheria kuliko Lissu.

Hata kwenye sheria za mazingira, Lissu hawezi kumfikia Dr. Rugemeleza Nshala.

Lissu ni mzuri katika kelele za kisiasa lakini kwenye masuala ya kisheria hana huo uwezo unaosema. Lissu ni mwanasheria wa kawaida tu.

Kesi ya Zitto kufukuzwa CHADEMA aligonga mwamba.

Kesi ya kikatiba ya Mbowe kuitwa na Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi katika kituo cha polisi amegonga mwamba.

Kesi ya kufanya mikutano ya kisiasa bila kibali cha polisi amegonga mwamba.

Hata kesi ya kina Bulaya na Mdee kuhusu adhabu walizopewa bungeni atagonga mwamba.

Kumbuka huu mswada umeandikwa na watu ambao hawana maslahi binafsi.

Miswada ya nyuma ilikuwa inaletwa huku ikiwa na hidden sinister motives
Umechambua vizuri mno..mwambie na kesi ya wabunge wa Eala, aliishia mitini, aliigopa hata kuifungua kwa aibu, hata mimi huwa namkubali sana Kibatala, siasa huwa anaweka pembeni wkti wa kaxi
 
imeandikwa kidhungu inajadiliwa kishwahili inapitishwa kiswahili, baadaye ikileta shida Lawama zinakuja kwa upinzani.
 
Cograts ...Proff na timu yako....wakati naingia chuoni ....niliambiwa wenye first class toka tz ipate uhuru faculty of......mpo watatu tu....ww....mkenya mareh...Mutula Kilonzo na Proff Majamba ...nilipomaizi umeteuliwa kuwa waziri wa sheria sisi wanafunzi wako tulijua nyumba imepata mkaaji ....naamini kwa miongozo yako tutafika pahala pazuli.
 
Rais Magufuli ninakupongeza wewe na wale wote waliokushauri ili kumteua Prof. Kabudi katika nafasi ya Waziri wa Katiba na Sheria.

Prof. Kabudi na timu yake ya wanasheria wameanza kutoa matunda yao mema kwa taifa kupitia kazi zao kama zilivyobainika kwenye miswada hii.

Kwa miswada hii iliyopelekwa bungeni ili kujadiliwa na kuwa sheria haina maneno mengi lakini yaliyopo yamejaa umuhimu mkubwa kisheria kwa maslahi ya taifa, sina shaka kwa kiwango kikubwa taifa litakuwa limeingia katika ukurasa mpya katika safari ya kulinda maliasili zake ili zinufaishe taifa kwa kizazi hiki na kijacho.

Kama Rais Magufuli alivyosema, ‘’tulichelewa lakini kama taifa tumeamua kufika’’ na kwa miswada hii ninatumaini tutafika.

Yaliyopo katika miswada hii ya sheria ni pamoja na;

>>Bunge kupitia mikataba yote ya maliasili za nchi kuangalia maslahi ya Watanzania na baada ya kubaini masharti hasi katika mikataba hiyo Bunge linaweza kuitaka Serikali kufanya majadiliano upya na upande wa pili wa mkataba ili kuondoa masharti hayo.

>>Kuweka utaratibu wa bunge kufanya mapitio na maridhiano ya mikataba.

>>Kufanya mapitio madaraka ya Waziri na Kamishna wa madini.

>>Kuimarisha mifumo ya uthibiti na uwajibikaji katika sekta ya madini na petrol.

>>Kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato kwenye sekta ya madini na petrol.

Kwa wale wanataka kuisoma hiyo miswada Gonga hapa;
LINK>>Miswada ya marekebisho ya sheria za maliasili

Hizi ni baadhi ya contents zilizoko kwenye miswada.
View attachment 532776
View attachment 532777
Ni miswaada yenye maslahi kwa Taifa na Watanzania!Sasa tuna serikali na rais na naweza sasa kutembea kifua mbele.
 
Miswaada hii ikipita hata mawakili wa tz watapata ulaji...maana migogoro ikiibuka kwa mikataba ijayo mashauri yatakuwa yakisikilizwa hapa hapa tz ( exort of local remedies)....ule ushenzi wa kuweka vipengele kwenye mikataba kwamba migogoro ikiibuka .....ikasikilizwe kwa hiyo mizungu .....sasa kwisha....kuiba ituibie .....mgogoro ukiibuka ikatusikilize s.henz
 
Sina shaka na Prof. Kabudi, hope assignment yake ameifanya vzr, shida ni kwa wabunge, kupata nafasi kujadili, kuchambua na kushauri kwa siku tatu zilizopangwa, muda hautoshi, kama tumeamua kama taifa kuanza upya, basi tujipatie nafasi ya kutosha kutafakari kwa kina tulipotoka tulipo na tunapotaka kuelekea kama taifa kuhusu maliasili zetu, wabunge Mara zote wakipelekewa miswaada kwa dharura za aina hii, huwa wanaoverlook mambo na mwishoni tunajuta wote, ikibidi hata lingeitishwa bunge maalum kujadili mambo haya vzr...
mkuu hivi unawaona wabunge wetu wana akili saana eeh??
unakosea sana, kule ni siasa na ushabiki ndio vinaongoza.....mie natamani hata hiyo miswada waipitishe bila kugusa chochote maana ndio wataiharibu kabisa!!
naamini prof kabudi na team yake ya wataalam wamefanya kazi nzuri kuliko hao wabunge wako!
 
Miswaada hii ikipita hata mawakili wa tz watapata ulaji...maana migogoro ikiibuka kwa mikataba ijayo mashauri yatakuwa yakisikilizwa hapa hapa tz ( exort of local remedies)....ule ushenzi wa kuweka vipengele kwenye mikataba kwamba migogoro ikiibuka .....ikasikilizwe kwa hiyo mizungu .....sasa kwisha....kuiba ituibie .....mgogoro ukiibuka ikatusikilize s.henz

..tatizo siyo mahakama ipi inaamua mashauri baina ya Tz na muwekezaji.

..tatizo ni mikataba mibovu iliyosainiwa na serikali za ccm ambayo imeelekeza tupate mrahaba wa asilimia 4.
 
..tatizo siyo mahakama ipi inaamua mashauri baina ya Tz na muwekezaji.

..tatizo ni mikataba mibovu iliyosainiwa na serikali za ccm ambayo imeelekeza tupate mrahaba wa asilimia 4.
Huko tulishaharibu....yaliyopita si ndwele tugange yajayo...sheria hizi zikipita ni kwa matumizi ya siku zijazo ....hata hivyo kuna mwanya wa mazungumzo baina ya serekali na hao walaliaji
 
Huko tulishaharibu....yaliyopita si ndwele tugange yajayo...sheria hizi zikipita ni kwa matumizi ya siku zijazo ....hata hivyo kuna mwanya wa mazungumzo baina ya serekali na hao walaliaji

..OK.

..lakini hicho sicho ambacho wananchi huku mitaani wanakitarajia.

..wananchi wanataka wafidiwe kile "walichoibiwa."

..wengine wameumizwa na kuuwawa ktk maeneo ya migodi, wanahitaji kifuta machozi.
 
Back
Top Bottom