MKWANO
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 221
- 153
Moja kwa moja kwenye mada, hiyo ramani nimejenga msingi umekamilika.nilikuwa na matumaini mambo yangekuwa sawa nijenge boma niezeke lakini mambo yamegoma.
Kwa milioni TATU nifanyeje ili nikaishi kwangu? View attachment FLOOR PLAN MWANZA.pdf
Kwa milioni TATU nifanyeje ili nikaishi kwangu? View attachment FLOOR PLAN MWANZA.pdf