Kwa mikoa hii Tisa Lowassa anaingia Ikulu

Kwa mikoa hii Tisa Lowassa anaingia Ikulu

Ukiangalia hapo mpaka sasa magufuli ana uhakika wa kushinda mikoa ya mwanza,dodoma,dar,tanga,tabora,kagera na morogoro ambazo ni ngome imara za ccm.kwa hali niliyoiona arusha wananchi wamechoka na upinzani na wanataka kuirudisha ccm kundini hvyo ccm itashnda,kule mbeya kelele ziko pale mbeya mjini tu ila huko kwingne ccm itashnda kwa kishindo kikubwa.msidanganyike na wingi wa watu kwenye mikutano yenu ambayo mnaifanyia mjini pekee,sisi wenzenu huku site tunapiga kampeni za kitanda kwa kitanda.
 
Atakayebisha ushindi mweupe wa lowassa aniambie kura mil 5 za kikwete magufuli anaongezea ngapi
 
Pamoja nakufa huduma za jamii bado mnajadili ccm tena uliona wapi aliefirisika akawa tajiri tena.
 
Mnajidanganya mno.El mwenyewe anaenda dar kila mara.wasiwasi mwingi. Viroba haviaminiki
 
Ndio maana mwenyekiti jana alijaa upepo,macho yamemtoka,amepanick anatoa tamko kama police kasahau ni mbio za mwenge na matanga ya baba wa taifa.:-D;-)

Jk calm down manigga.
 
Kwa takwimu hizo mzee akitoka mbeya aruke morogoro akaonane na wananchi kule wanamsubiri tokea tarehe 8 septemba na Ni ngome muhimu ya chadema,mikumi,ruaha,ifakara,mahenge(sasa hivi imehamia chadema toka ccm) na mlimba
mfano ifakara chadema ilishinda asilimia 95 kwenye nafasi za serikali za mitaa.
 
Kwa dar es salaam eneo ambalo Lowasa ana ngome ya wapiga kura anaoweza kuwaamini ni KIMARA.Mtafiti yeyote ruksa kuthibitisha hilo.Kimara ni sehemu ndogo mno ya wakazi wa Dar es salaam ambayo haimpi ushindi hata afanyaje Dar es salaam

Acha kujidanganya!!wale watu wote waliokua jangwani ni wa KIMARA
 
tupeni statistical data ambazo ziko very vivid kuwa hiyo mikoa yote tajwa hapo juu wananchi wake ni wana ukawa tu pekee na hakuna wana ccm wowote huko. tuache kufikiria kiuenyeji / kiuchawi kama siyo kishirikina au kutumika kisiaa na badala yake let us be too scientific. mwanachi niliowajua kwa miaka 7 iliyopita siyo mwanachi hii niliyoiona kuanzia mwezi march hadi sasa au leo 15, october 2015 na nisifiche kwa sasa silitofautishi hilo gazeti na yale magazeti ya pale bamaga mkabala na petrol station ya tsn.

Kwa kuwasaidia hao jamaa wasiotaka kufikirisha vichwa vyao, dar 50/50, mwanza ccm 60%, moro ccm 70%, Tanga ccm 70%, kagera ccm 60%, mbeya 50/50, dodoma ccm 80%? Tabora ccm 70% na arusha ccm 40%....kwa takwimu hizi, sioni ukawa kuingia ikulu
 
Kwa dar es salaam eneo ambalo Lowasa ana ngome ya wapiga kura anaoweza kuwaamini ni KIMARA.Mtafiti yeyote ruksa kuthibitisha hilo.Kimara ni sehemu ndogo mno ya wakazi wa Dar es salaam ambayo haimpi ushindi hata afanyaje Dar es salaam

una kidonda kwenye ubongo.... ufikir wako hauko sawa.... kawaida kabisa dar es salaam ina idad kubwa ya watu wapenda mabadiliko... matokeo tutayaona we subir ushike tama siku hiyo
 
Ukiangalia hapo mpaka sasa magufuli ana uhakika wa kushinda mikoa ya mwanza,dodoma,dar,tanga,tabora,kagera na morogoro ambazo ni ngome imara za ccm.kwa hali niliyoiona arusha wananchi wamechoka na upinzani na wanataka kuirudisha ccm kundini hvyo ccm itashnda,kule mbeya kelele ziko pale mbeya mjini tu ila huko kwingne ccm itashnda kwa kishindo kikubwa.msidanganyike na wingi wa watu kwenye mikutano yenu ambayo mnaifanyia mjini pekee,sisi wenzenu huku site tunapiga kampeni za kitanda kwa kitanda.

kampen zakugawa buku 10
 
tupeni statistical data ambazo ziko very vivid kuwa hiyo mikoa yote tajwa hapo juu wananchi wake ni wana ukawa tu pekee na hakuna wana ccm wowote huko.

Tunaangalia Idadi ya Mikoa Inayomkubali Zaidi Lowassa. Mikoa hiyo 75% wanamkubali Lowassa.. Hizo 25%chukueni Nyie

tuache kufikiria kiuenyeji / kiuchawi kama siyo kishirikina au kutumika kisiaa na badala yake let us be too scientific. mwanachi niliowajua kwa miaka 7 iliyopita siyo mwanachi hii niliyoiona kuanzia mwezi march hadi sasa au leo 15, october 2015 na nisifiche kwa sasa silitofautishi hilo gazeti na yale magazeti ya pale bamaga mkabala na petrol station ya tsn.

Naona Kama umepanic
 
una kidonda kwenye ubongo.... ufikir wako hauko sawa.... kawaida kabisa dar es salaam ina idad kubwa ya watu wapenda mabadiliko... matokeo tutayaona we subir ushike tama siku hiyo

Kura za uraisi za Lowasa sana sana kimara ndio utarajie.Mark my words.Matokeo ya jumla Dar es salaam atabwagwa mbali mno na magufuli mbali mno.Ni mkoa ambao LOwasa ni mkazi wake wanamjua vizuri tena mno hawaambii kitu.Kaangalie matokeo ya uchaguzi kimara kwa dar ndiko aweza shida.Na ninamaanisha ninachoongea.
 
Hilo Gazeti La Mwananchi Halijaandika Kuwa Lowassa Akishinda Hiyo Mikoa Ndo Atakuwa Mshindi,wamesema Atakaye Changa Karata Zake Vizuri Katika Hiyo Mikoa 9,acha Kuquote Vitu Vya Watu Utakavo Wewe Kiushabiki!!

Picha Imetoka Mwananchi Heading ya JF Imetoka Kwangu.. Una Cha Ziada
 
Mpo ccm kimavazi ila kikura mpo ukawa hutaki ndo hivyo hivyo unataka ndo hivyo hivyo

Hapo Unataka Kubadili Nyeusi Kuwa Nyekundu,unaforce Vitu Mkuu...Kwa Mgombea Yupi Wa Ubunge Mlie Naye?Huyu Mtolea Ambaye Hata Ushawishi?
 
Back
Top Bottom