Kwa miji ya Africans

Kwa miji ya Africans

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,956
Reaction score
11,960
Umewahi kujiuliza kwa nini Waafrika hususani sisi weusi tunadharauliwa sana? Actually sababu sio rangi yetu ya ngozi pekee, bali kuna sababu nyingi mno kwa nini Waafrika wanadharauliwa sehemu nyingi duniani
Actually sababu zipo nyingi ila kwa leo acha tuangalie miji
Unaweza kushangaa ila ukweli ni kwamba miji ni moja ya sababu kwa nini Waafrika tunadharauliwa

Mfano angalia picha hii. Hapa ni Seattle, Marekani
photo-1572981986848-b6f1c98828e7.jpeg

.

Halafu angalia na picha hii. Hapa ni Lagos, Nigeria
photo-1649502913092-fb7f0e8fc632.jpeg

.

Unaona tofauti gani?
Hauoni kama sehemu moja ina resemble civilisation na nyingine inaonesha disorganisation?

Hii ndio sababu tunadharauliwa, hata vitu vidogo kama cities tunashindwa kumaintain
 
Umewahi kujiuliza kwa nini Waafrika hususani sisi weusi tunadharauliwa sana? Actually sababu sio rangi yetu ya ngozi pekee, bali kuna sababu nyingi mno kwa nini Waafrika wanadharauliwa sehemu nyingi duniani
Actually sababu zipo nyingi ila kwa leo acha tuangalie miji
Unaweza kushangaa ila ukweli ni kwamba miji ni moja ya sababu kwa nini Waafrika tunadharauliwa

Mfano angalia picha hii. Hapa ni Seattle, Marekani
View attachment 3514768
.

Halafu angalia na picha hii. Hapa ni Lagos, Nigeria
View attachment 3514769
.

Unaona tofauti gani?
Hauoni kama sehemu moja ina resemble civilisation na nyingine inaonesha disorganisation?

Hii ndio sababu tunadharauliwa, hata vitu vidogo kama cities tunashindwa kumaintain
Tunaishi Kama wanyama wa mwituni , ujinga wa MTU mweusi ni wa kudumu ,hata hawa wasenge walioko madarakani na Tabia zao za kishetani ndio reflection ya tabia nyingi zetu watu weusi
 
Tunaishi Kama wanyama wa mwituni , ujinga wa MTU mweusi ni wa kudumu ,hata hawa wasenge walioko madarakani na Tabia zao za kishetani ndio reflection ya tabia nyingi zetu watu weusi
Kwa kweli inasikitisha sana
Na ukiangalia vitu vizuri kwenye miji ya Africa kama treni za umeme, madaraja, barabara, flyover, airports, nk unakuta zimejengwa na Wachina au Wajapani etc. Ina maana sisi hatuwezi au. Tupo nyuma in everything
 
Na hio baiskeli imepakiwa hapo wangesha iba zamani
 
Tatizo letu waafrika tunaishi kwa kukalili kumtukuza ngozi ya mtumba, ndiyo chanzo cha kuanza kuzalau hata vitu vya kwetu wenyewe.
 
Back
Top Bottom