Kwa michanuko hii ushindi lazima upatikane

Kwa michanuko hii ushindi lazima upatikane

Babylon

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
1,332
Reaction score
86
wasichana.JPG
 
Inaweza kuleta 'changamoto' kwa makocha wa viungo (wanaume)?
(picha kwa hisani ya blogu ya michuzi)
wasichana.JPG
 
Ni changamoto gani unayoiona hapa.
 
Ni changamoto gani unayoiona hapa.

we huoni michanuko hiyo....kocha laini laini tu klatoka kunywa misupu ya pweza si unamkamatia nyavuni hapa....mnashangaa mnamkuta anatweta tu
 
we huoni michanuko hiyo....kocha laini laini tu klatoka kunywa misupu ya pweza si unamkamatia nyavuni hapa....mnashangaa mnamkuta anatweta tu

umenifanya nicheke kwa sauti hadi my wife wangu ameshtuka lo!
 
Hapa wanatanua "misuli" iwe kama lapulapu, iwe inavutika mpaka basi!!
 
umenifanya nicheke kwa sauti hadi my wife wangu ameshtuka lo!

hahaaaa mambo mazito sana haya kiongozi watu wanaleta siasa kwenye mambo haya ya uchavushaji!!!! ni wakinipa kazi hii haki ya mungu ndoa na mama gaude wangu utayumba sana
 
Back
Top Bottom