Steang
JF-Expert Member
- Mar 3, 2012
- 394
- 42
Wao si wanataka Zanzibar yao yenye mamlaka kamili, na sisi tunataka tanganyika yenye mamlaka kamili. Mtoto akililia wembe mpatie.
kama tungekuwa na majina ya wazee wet wangesema me nawew ni ndugu,nam napenda iwe hvyo.