Kwa mfumo huu wadada nawanyoshea mikono

Kwa mfumo huu wadada nawanyoshea mikono

Kitu kimoja tuu huwa napenda kusema maranyingi na kuwaambia watu, dunia hii kokote kule ukiamua kwenda kujificha ufanye madhambi yako au hata uamue kwenda na mkeo/mumeo kujipumzisha na muwe off-mobile phones, amini usiamini kutakuwa na mtu ambaye anawafahamu atawaona na iko siku bila kujua kama anaharibu au la atakwambia mbele za watu kuwa nilikuona mahali flani mwaka flani wewe ukishangaa alinonaje nami nilienda mbali. Watu wanakariri tuu kuwa kwenda mbali na maeneo ya home au watu wanaokufahamu ndo kutojulikana kumbe lets say unakaa kigamboni ukaamua kwenda hoteli za bagamoyo ukiamini hamna anayekujua kumbe siku hiyo mama yako mdogo kaenda tour ya wamama wa kanisani kwao na kakuona akijua uko kikazi au na mumeo sasa siku anakuja kukusimulia home mbele ya mumeo/mkeo macho yanakutoka, wizi mbaya sana.

Daaah ni kweli kabisa mkuu hakunaga siri duniani ila 2ache masihara wanawake nyoka kwel unalala na bwana mwingne guest tena na katoto kadogo maskini pengne kalikuwa kanausoma mchezo mzima lakn kalishndwa kusema
 
yaah! Wamekabemenda kabisa na wewe umeruhusu huo ujinga kufanyika manake uliona ila hukufanya chochote! Na wewe umehusika kwenye huo ufedhuli.

Mkuu me cjahusika bali nimeplay fair game,wat if ningemwambia muhusika then wakaachana ?then mtoto akaja ishi maisha ya tabu baadaye? Kama ni mchezo wake atanogewa 2.so cku za mwiz ni arobaini
 
Hahahaha ndo nimesema mkuu.wanatua hv hv 2najiona

Najua mtasema niko natetea kitendo hicho! La hasha nakipinga na sikubaliani nacho 100%!
Ila mleta thread na JF wengi mmestuka sana hata kuliko kile kitendo cha yule Dada aliyebakwa Shynyanga na kuchomekwa/ kutobolewa kisu kwny naniluu yake!
Jamii yote imepoteza maadili c mwanamke c mwanamme, c mtoto c mkubwa, c kijana c Mzee!
Sasa basi tulione hili tutafute suluhisho ili tusistaajibie ya kina Mussa na Firauni kila iitwapo leo.
Mkuu pole kwa yaliyokupata, na usimshangae huyo Shemeji manake hata huyo gal ulie nae aweza kufanya ivyo au zaidi ya ivyo cku usiyoitarajia na usiamini macho yako!
Hivyo basi cku ukimuona kaka yako naye anaingia guest na mwanamke asie mkewe wakati ameaga kaenda safari Morogoro ushtuke hivyohivyo na uchukue hatua sahihi ili kuwasaidia kuacha vitendo hivyo na kuwa waaminifu ktk ndoa.

Na hii habari ya kusema wanawake watatuua watatumaliza hawa, wakati 80% ya JF humu wameshabikia Nyumba ndogo kwny thread flan huko nyuma ndiyo habari inayolalamikiwa pia na wanawake wakisema hawa wanaume watatuua na kutumaliza.
Sote yatupasa kubadilika, tusikae kumnyooshea Shemeji kidole kwavile kaonekana wakati sisi huku gizani tuna msururu wa wapenzi, nyumba ndogo, sugar mamis & dadis, ving'asti, marioo n.k.
 
Najua mtasema niko natetea kitendo hicho! La hasha nakipinga na sikubaliani nacho 100%!
Ila mleta thread na JF wengi mmestuka sana hata kuliko kile kitendo cha yule Dada aliyebakwa Shynyanga na kuchomekwa/ kutobolewa kisu kwny naniluu yake!
Jamii yote imepoteza maadili c mwanamke c mwanamme, c mtoto c mkubwa, c kijana c Mzee!
Sasa basi tulione hili tutafute suluhisho ili tusistaajibie ya kina Mussa na Firauni kila iitwapo leo.
Mkuu pole kwa yaliyokupata, na usimshangae huyo Shemeji manake hata huyo gal ulie nae aweza kufanya ivyo au zaidi ya ivyo cku usiyoitarajia na usiamini macho yako!
Hivyo basi cku ukimuona kaka yako naye anaingia guest na mwanamke asie mkewe wakati ameaga kaenda safari Morogoro ushtuke hivyohivyo na uchukue hatua sahihi ili kuwasaidia kuacha vitendo hivyo na kuwa waaminifu ktk ndoa.

Na hii habari ya kusema wanawake watatuua watatumaliza hawa, wakati 80% ya JF humu wameshabikia Nyumba ndogo kwny thread flan huko nyuma ndiyo habari inayolalamikiwa pia na wanawake wakisema hawa wanaume watatuua na kutumaliza.
Sote yatupasa kubadilika, tusikae kumnyooshea Shemeji kidole kwavile kaonekana wakati sisi huku gizani tuna msururu wa wapenzi, nyumba ndogo, sugar mamis & dadis, ving'asti, marioo n.k.

Mkuu,thanks kwa ushauri Wako ulichosema ni kwel kabisa weng w2 ni wahanga wa hayo matukio ila 2nahtaj mabadiliko coz kusema na kutenda ni v2 viwili tofauti vijana wa sasa ni wepesi wa kutamka no na sio kutenda kwa NO,MUNGU ATUSAIDIE
 
Unaona mkuu,cjui gal kakusa nn coz kila k2 anapewa daah inatisha

Kuna thread huko nyuma nadhani asubuhi niliwatahadharisha au nilimtahadharisha mtoa mada ya kusema wanawake hawana orgasm, wanaume peke yao ndiyo wana ejaculate na ivyo wao(men) ndiyo wenye haki ya kuenjoy sex! unaingiza sekunde 2 umemaliza, yeye hakuna kulalamika kwvile c maumbile yake kufika orgasm!
Hapo ndipo panapoharibu ndoa nyingi na hata mahusiano mengi.
Wanawake kama ilivyo wanaume wanamaliza desires za miili yao kwa kufanya sex na kufika kilele/ kukojoa/ejaculation 4 men, orgasm 4 women!
Kama ni mkeo au mpenzi wako usipompa penzi la kumfikisha hapo (orgasm) atatafuta kokote kwa gharama yoyote... hiyo ndiyo full satisfaction yake...
Hata umpe kila kitu kama ulivyosema hapo juu bado haimzuii kucheat ili mradi tu awe satisfied!

Hata wanaume ni hivyo hivyo mi nimeishi na kaka zangu, work mates, college mates ikija ile hamu ya kunanilii akili haikai sawa, iwe kazi, iwe kitabu hakiendi sawa mpk akananiliii.

So usishangae kakosa nn, mbona kaka anampa kila kitu!
 
Yan wewe ungekuwa ni mdogo wangu afu nijue ulishuhudia picha kama hiyo afu hukuniambia ningekuchapa makofi. Unajua kabisa anaweza kumuua kaka yako au kumuharibu mtoto kiafya au kisaikolojia wewe ukamwacha tu na kuondoka? Una tofauti gan sasa na huyo shemeji yako?
Nadhani kafanya vizuri maana hajui ni wangapi! Majambo haya ni vyema ukamwachia mungu si kuweka neno. Si ajabu rafiki yako hakuna kitu huku chini, na kama ni hivyo je aliolewa kufaidi kukoroma? Mbinu za medani yakhe
 
And vise versa is true

Wanaume wanaaga wanasafiri kumbe wanaishia mtaa wa pili, mkuki kwa nguruwe......

Well said! Hakuna mzuri hapo mbona wamemkazania huyo mdada, cjaona hata comment moja ya kumlaani huyo mwanaume ambae nae ni mkosaji no 1 kumchukua mke wa mtu, tena akiwa na mtoto mgongoni na kumpeleka guest na kulipia rum ili kufanya uzinzi nae. Au mnataka kutuambia wanaume hawana akili na utashi wa kujua kuzini na mke wa mtu au mwanamke asiye wako ni vibaya/dhambi?
Shame upon him too!
 
Dah!!Na mi nikimuona wa kwako sikwambii napiga kimya.

Ndiyo ukae kimya usiseme kwavile hata wewe tukikuona unamfanyia mkeo au mpenzio hutafurahi tukimwambia! ungependa tukuonye kwa siri bila yule kujua. Si ndio kaka?
 
ulipata mfadhaiko wa nin? Na wewe unammega hûyo shemeji yako kwan?

Sawa at first ulipata mshtuko ila baada ya hapo hukujua chakufanya? Yan ukasubiri had saa 4 ulipomuona shemejio anarud? Kwanin usingemwambia kaka yako mkafatilie hapo lodge baada ya mshtuko kukuisha? Au ndo stor za kusadikika?

BTW wewe bure kabisaa!

Ha ha ha ha..... mfadhaiko toka jana jioni mpk leo asubuhi!:khaaa
 
Nakulaumu sana mkuu. Kwanini umechagua kuwa MNAFIKI? Unanikumbusha ahadi za mwana TANU,''Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko''.

Na majirani au mashoga au ndugu yako au ndugu wa mkeo au mpenzio wakienda kumwambia ufuska unaoufanya pembezoni SI WANAFIKI KUANZIA SASA! UWE UNAWAPONGEZA KWA KUMHABARISHA BI DADA ILI USIJE KUMLETEA MAGONJWA!
tusisikie ukiwaita wanafiki wanataka kuharibu ndoa/penzi lenu
 
Kuna thread huko nyuma nadhani asubuhi niliwatahadharisha au nilimtahadharisha mtoa mada ya kusema wanawake hawana orgasm, wanaume peke yao ndiyo wana ejaculate na ivyo wao(men) ndiyo wenye haki ya kuenjoy sex! unaingiza sekunde 2 umemaliza, yeye hakuna kulalamika kwvile c maumbile yake kufika orgasm!
Hapo ndipo panapoharibu ndoa nyingi na hata mahusiano mengi.
Wanawake kama ilivyo wanaume wanamaliza desires za miili yao kwa kufanya sex na kufika kilele/ kukojoa/ejaculation 4 men, orgasm 4 women!
Kama ni mkeo au mpenzi wako usipompa penzi la kumfikisha hapo (orgasm) atatafuta kokote kwa gharama yoyote... hiyo ndiyo full satisfaction yake...
Hata umpe kila kitu kama ulivyosema hapo juu bado haimzuii kucheat ili mradi tu awe satisfied!

Hata wanaume ni hivyo hivyo mi nimeishi na kaka zangu, work mates, college mates ikija ile hamu ya kunanilii akili haikai sawa, iwe kazi, iwe kitabu hakiendi sawa mpk akananiliii.

So usishangae kakosa nn, mbona kaka anampa kila kitu!

Mkuu ngoja nifanye uchunguz wangu ntakupa jbu y kamsaliti
 
kila kitu anapewaaaa!mambo ya faragha ni siri mkuu na ndio maana wenzetu wmebuni ndoa za mikataba kwakuwa walishaliona hili kuna muda ukifika unakuta kila mmoja anamkinahi mwenzake na ndo hilo sasa unakuta mume anagawa bastola mke kifuu kinakunwa na kila mtu.

Hahaha...... well said! LIKE
 
Kuna mtu aliwahi kunishangaa kwa nini nakuwa na mwanaume mmoja. Akasema kuwa na Mwanaume mmoja ni HEADACHE. Nilikuwa simuelewi anaongelea nini. Ila kutokana na changamoto ninazokutana nazo kwenye mahusiano, naona kama kuna kaukweli.
 
Kuna mtu aliwahi kunishangaa kwa nini nakuwa na mwanaume mmoja. Akasema kuwa na Mwanaume mmoja ni HEADACHE. Nilikuwa simuelewi anaongelea nini. Ila kutokana na changamoto ninazokutana nazo kwenye mahusiano, naona kama kuna kaukweli.

Madame A, kwa hyo hata ww unasaliti mpenz wako?mmmh kwel hakuna msichana mwaminifu
 
Yan wewe ungekuwa ni mdogo wangu afu nijue ulishuhudia picha kama hiyo afu hukuniambia ningekuchapa makofi. Unajua kabisa anaweza kumuua kaka yako au kumuharibu mtoto kiafya au kisaikolojia wewe ukamwacha tu na kuondoka? Una tofauti gan sasa na huyo shemeji yako?

Muongo.. Hiyo ni changamsha Baraza...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom