Kwa mfumo huu wadada nawanyoshea mikono

Kwa mfumo huu wadada nawanyoshea mikono

mtoto wa kibopa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
5,336
Reaction score
6,426
jana katika kupumzisha akili nilikuwa na gal wangu sehemu,nilichokiona sikuamini macho yangu.ni shemej yangu yupo na bwana mwingne tena kabeba na mtoto mdogo wakiingia nyumba ya wageni bila hofu. kwa bahati nzuri au mbaya mm hawakuniona.nilichofanya nikumpgia simu mumewe na kumuulza kama yupo na shemeji akanijibu hivi... SHEMEJIO KAENDA NA MTOTO KWA WAZAZI WAKE(WAKWE) KUWASALIMIA ANARUDI KESHO(LEO JUMAPILI)mwisho wa kunukuu.Basi nikazugazuga kwamba nilikuwa nataka kumsalimia ila moyoni niliumia kuona anasalitiwa.naogopa kuharibu ndoa ya watu nimepiga kimya.




My take
Usimwamini mwanamke kwa kila kitu.hebu fikiria kamwaga mumewe kwamba anaenda kuwasabahi wazazi tena kabeba na mtoto ili mumewe amuamini vizuri.duu nyie viumbe mnatisha nimewakubaliii
 
ungemua mbia tu aamue mwenyewe nyie ndo mnawauwa nduguzenu kwa kuficha mabaya yao au ungemwita huyo shemu na umuonye ndio usimwambie bro ila umetoa onyo.sasa ww hujachukua hatua yoyote
 
Huyo mwanamke ni m.p.u.m.b.a.v.u ,hajui kama mtoto kuna siku ataropoka?Wanawake ndivyo walivyo,lakin upande mwingine hata sisi ni walewale,let it be,hayo ndo maisha siku zinasonga.
 
jana katika kupumzisha akili nilikuwa na gal wangu sehemu,nilichokiona sikuamini macho yangu.ni shemej yangu yupo na bwana mwingne tena kabeba na mtoto mdogo wakiingia nyumba ya wageni bila hofu. kwa bahati nzuri au mbaya mm hawakuniona.nilichofanya nikumpgia simu mumewe na kumuulza kama yupo na shemeji akanijibu hivi... SHEMEJIO KAENDA NA MTOTO KWA WAZAZI WAKE(WAKWE) KUWASALIMIA ANARUDI KESHO(LEO JUMAPILI)mwisho wa kunukuu.Basi nikazugazuga kwamba nilikuwa nataka kumsalimia ila moyoni niliumia kuona anasalitiwa.naogopa kuharibu ndoa ya watu nimepiga kimya.




My take
Usimwamini mwanamke kwa kila kitu.hebu fikiria kamwaga mumewe kwamba anaenda kuwasabahi wazazi tena kabeba na mtoto ili mumewe amuamini vizuri.duu nyie viumbe mnatisha nimewakubaliii

we bado ulikuwa unawaamini , nobody should be trusted.
"the ones to trust are the dead ones only"
 
mie nadhani ingekuwa ni vizuri sana kama haa ungemwita huyo shemejiyio ili aone kuwa kaonwa na hivyo basi labda asiingeendelea na hiyo segment ilobakia kwenye huo uzinzi wake hapo na pia kwa kiasi fulani ungekuwa umemwokoa ndugu yako dhidi ya hayo majanga tena kuliko kukaaa kimya kama ambavyo umefanya
 
ungemua mbia tu aamue mwenyewe nyie ndo mnawauwa nduguzenu kwa kuficha mabaya yao au ungemwita huyo shemu na umuonye ndio usimwambie bro ila umetoa onyo.sasa ww hujachukua hatua yoyote

Mkuu unajua mapenz hayaingiliwi naamin hvo nisije ropoka mwisho wa cku wanapatana nabaki nimeng'aa masharubu.me naamin cku za mwiz ni 39 a
 
mie nadhani ingekuwa ni vizuri sana kama haa ungemwita huyo shemejiyio ili aone kuwa kaonwa na hivyo basi labda asiingeendelea na hiyo segment ilobakia kwenye huo uzinzi wake hapo na pia kwa kiasi fulani ungekuwa umemwokoa ndugu yako dhidi ya hayo majanga tena kuliko kukaaa kimya kama ambavyo umefanya

Mkuu ushawah kupenda kwa dhati?kila utakachoambiwa utaona uongo 2.mwisho wa cku wanakuchukia kwa kutaka kuharbu ndoa yao.za mwizi 39
 
Huyo mwanamke ni m.p.u.m.b.a.v.u ,hajui kama mtoto kuna siku ataropoka?Wanawake ndivyo walivyo,lakin upande mwingine hata sisi ni walewale,let it be,hayo ndo maisha siku zinasonga.

Unaona mkuu,cjui gal kakusa nn coz kila k2 anapewa daah inatisha
 
Mi nawaza huyo mtoto watamuweka wapi? Maybe you misunderstood the whole situation! Labda kwao kulikuwa kumejaaa, kaka yake akamsindikiza lodge wajipumzishe.

Mimi na Mdingi kuna siku tulienda Mkoa ambao hatuna ndugu kabisaa kwenye reception ya ndugu yetu. Tulivofika tu tukaongozana kuchukua rooms hotel moja katikati ya jiji. Mimi na Mzee, mimi na handbag, Mzee na briefcase ya kizushi, hao yeye mbele, mimi nyuma tukaingia hotelini kukodi rooms.

Sasa kama ungekuwa hutujui, jinsi Mzee wangu alivo kijana mtu mzima kishkaji ungefikiria vibaya sanaaa! Very bad! Hata muuza vyumba alipata insinuations mbaya sanaaa! Hadi alivoniita nakuniuliza Wewe unataka chumba gani, nikamwambia cha juju Baba! Ndo wakajua okay! Kumbe mdingi wake.

SO SOMETIMES ITS NOT EXACTLY WHAT YOU THINK!!!!!!!!!!
 
Laiti km kaka yako angekua na kautamaduni ka kutembelea JF angeweza kuunganisha kuagwa,kupigiwa simu na wewe, na mkewe kurudi next day!
 
Ungemchana tu huyo demu au ungemuita mshikaji kimyakimya akaja ktmaliza kesi au na wewe unataka kuomba lift kupitia hili kosa la shemejio?.
 
Hahahaha ndo nimesema mkuu.wanatua hv hv 2najiona

Yan wewe ungekuwa ni mdogo wangu afu nijue ulishuhudia picha kama hiyo afu hukuniambia ningekuchapa makofi. Unajua kabisa anaweza kumuua kaka yako au kumuharibu mtoto kiafya au kisaikolojia wewe ukamwacha tu na kuondoka? Una tofauti gan sasa na huyo shemeji yako?
 
My take
Usimwamini mwanamke kwa kila kitu.hebu fikiria kamwaga mumewe kwamba anaenda kuwasabahi wazazi tena kabeba na mtoto ili mumewe amuamini vizuri.duu nyie viumbe mnatisha nimewakubaliii
And vise versa is true

Wanaume wanaaga wanasafiri kumbe wanaishia mtaa wa pili, mkuki kwa nguruwe......
 
Mi nawaza huyo mtoto watamuweka wapi? Maybe you misunderstood the whole situation! Labda kwao kulikuwa kumejaaa, kaka yake akamsindikiza lodge wajipumzishe.

Mimi na Mdingi kuna siku tulienda Mkoa ambao hatuna ndugu kabisaa kwenye reception ya ndugu yetu. Tulivofika tu tukaongozana kuchukua rooms hotel moja katikati ya jiji. Mimi na Mzee, mimi na handbag, Mzee na briefcase ya kizushi, hao yeye mbele, mimi nyuma tukaingia hotelini kukodi rooms.

Sasa kama ungekuwa hutujui, jinsi Mzee wangu alivo kijana mtu mzima kishkaji ungefikiria vibaya sanaaa! Very bad! Hata muuza vyumba alipata insinuations mbaya sanaaa! Hadi alivoniita nakuniuliza Wewe unataka chumba gani, nikamwambia cha juju Baba! Ndo wakajua okay! Kumbe mdingi wake.

SO SOMETIMES ITS NOT EXACTLY WHAT YOU THINK!!!!!!!!!!

Lala 1 dadaangu mpendwa kwao napafahamu vzr co huko walipokuwa.kwan kibaha na mbez beach ni jiran? Jaman dadaangu kusoma cjui hata picha nishndwe kujua?
 
Ungemwita umsalimu, ingetosha sana. Hlf unakaa kimyaaaa humwambii kitu husband wake. Kuliko ulivompigia simu brother, sio nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom