Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,208
Hivi ni nani aliwaambia Bavicha kuwa MATAGA hawamtaki mama?
Naona wameingia kichwachwa kwamba ccm hawamtaki mama hivyo wanadhani wakimshangilia sana mama basi watakuwa wameuwa legacy ya Magufuli bila kujua kuwa mama mwenyewe ni legacy ya Magufuli
Hiyo ni mbinu ya kurudi nyuma na kutengeneza V huwa inatumiwa sana hata kwenye vita, yani mnarudi nyuma kama mmeshindwa alafu adui anaingia ndani ya fensi.
Hii mbinu iliyobuniwa na MATAGA ya kuwaingiza mkenge BAVICHA wote mhamie ccm na kusifia alafu mwishoni mwa 2025 mfyatuliwe wote.
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lissu maana 2025 hana chake tena.
CCM itaendelea kupeta.
CHADEMA wote wanashangilia na kuitaja CCM kwa siku mara nyingi zaidi kuliko wanavyoitaja CHADEMA.
Hongereni sana MATAGA kwa kubuni mbinu hii mtashinda kila kitu kirahisi sana.
Naona wameingia kichwachwa kwamba ccm hawamtaki mama hivyo wanadhani wakimshangilia sana mama basi watakuwa wameuwa legacy ya Magufuli bila kujua kuwa mama mwenyewe ni legacy ya Magufuli
Hiyo ni mbinu ya kurudi nyuma na kutengeneza V huwa inatumiwa sana hata kwenye vita, yani mnarudi nyuma kama mmeshindwa alafu adui anaingia ndani ya fensi.
Hii mbinu iliyobuniwa na MATAGA ya kuwaingiza mkenge BAVICHA wote mhamie ccm na kusifia alafu mwishoni mwa 2025 mfyatuliwe wote.
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lissu maana 2025 hana chake tena.
CCM itaendelea kupeta.
CHADEMA wote wanashangilia na kuitaja CCM kwa siku mara nyingi zaidi kuliko wanavyoitaja CHADEMA.
Hongereni sana MATAGA kwa kubuni mbinu hii mtashinda kila kitu kirahisi sana.