KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
SIO KILA KITU LAZIMA KIFANYWE NA WAKENYA HATA SISI TUNAWEZA,ASANTE SANA YUSUF MANJI KWA KITU KIZURI.
ODINGA ALIVYOZINDUA JENGO LA QUALITY CENTRE
ODINGA ALIVYOZINDUA JENGO LA QUALITY CENTRE
Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga jana Nov 25, 2011 alifungua Jengo la kibiashara la kisasa la Quality Centre lililopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. Pichani ni Mhe. Odinga (kulia) akiangalia bidhaa za Super Market ya Uchumi inayomilikiwa na Wakenya iliyomo kwenye jengo hilo....
Wahudumu wa mapokezi wa Jengo la Quality Centre, Amina (kushoto) na Zuhura wakiwa na nyuso za tabasamu wakati wakikaribisha wageni wageni
KWA MAPICHA ZAIDI GONGA HAPA,UTAELEWA KWA NINI NAMPONGEZA FISADI HUYU MTOTO
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/odinga-alivyozindua-jengo-la-quality-centreKWA MAPICHA ZAIDI GONGA HAPA,UTAELEWA KWA NINI NAMPONGEZA FISADI HUYU MTOTO