Kwa matokeo haya nimshauri nini dogo

Kwa matokeo haya nimshauri nini dogo

haha hio udj mimi ndio inanifurahisha duh mtihani wa watoto huu hapo lazima busara ya wazaz hasa baba ilitumika yan kama naona baba alivyoamua kama nguzo ya familia
Kama ulikuwepo mzee wake alimpambania sana kijana wake.Sisi wengine ilikuwa ushauri wa maneno tu zikija habari za kutoa posho hatuonekani.
 
Kama ulikuwepo mzee wake alimpambania sana kijana wake.Sisi wengine ilikuwa ushauri wa maneno tu zikija habari za kutoa posho hatuonekani.
na hio ndio definition ya kuitwa baba sio baba jina baba ni pamoja na kua amri
 
Mkuu mpe kirikuuu...na umsimamie haswa....utakuja kunishukuru badae...na pengine akawa ndio msaada kwa wadogo zake na marafik zake watakuja kumuogopa baadae kwa ukwas alio kuwa nao baada ya miaka 5...bora hta huyo...wangu kazungusha 360 nyuz...hapa ndio namjazia mafuta...apambane
Wazazi wote wangekuwa na mtazamo kama wako vijana wangefika mbali sana
 
Back
Top Bottom